alongakeke Member Joined Feb 3, 2017 Posts 98 Reaction score 30 Jul 11, 2018 #1 wakuu nataka kufanya biashara ya electronics nijikite kwenye samsung na iphones , laptops pamoja na video game consoles kama ps4 n kadhalika, nn mawazo yenu kuhusu mpango huu, ?
wakuu nataka kufanya biashara ya electronics nijikite kwenye samsung na iphones , laptops pamoja na video game consoles kama ps4 n kadhalika, nn mawazo yenu kuhusu mpango huu, ?
Fuga Kisasa Senior Member Joined Jan 16, 2016 Posts 165 Reaction score 91 Jul 11, 2018 #2 Hiyo biashara unataka kufanyia wapi mkuu?
ngusekela JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 402 Reaction score 180 Jul 11, 2018 #3 Mtaji kiasi gani mkuu
alongakeke Member Joined Feb 3, 2017 Posts 98 Reaction score 30 Jul 11, 2018 Thread starter #4 Fuga Kisasa said: Hiyo biashara unataka kufanyia wapi mkuu? Click to expand... Mwanza
alongakeke Member Joined Feb 3, 2017 Posts 98 Reaction score 30 Jul 11, 2018 Thread starter #5 ngusekela said: Mtaji kiasi gani mkuu Click to expand... 27m