mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,617
Habari za muda huu wakuu, ni tumaini langu mko salama. Na mnasongesha gurudumu ili La kila siku ilihali maisha yaenende sawia.
Sipo hapa kuwachosha sana, Mimi nimekuwa ni mpenzi sana na navutiwa sana na hii biashara ya fenesi maana ni tunda ambalo naona linapendwa na watu wengi kama siyo wote.
Ningeomba ushauri wenu kutaka kuifanya biashara hii kuwa kivutio na tunda kwa walaji, nitumie njia gani ili biashara hii iweze kuwafikia walaji kwa wakati.
Naombeni ushauri, kama pia humu walaji mpo muwe tayari kunipa ushirikiano
Asanteni
Sipo hapa kuwachosha sana, Mimi nimekuwa ni mpenzi sana na navutiwa sana na hii biashara ya fenesi maana ni tunda ambalo naona linapendwa na watu wengi kama siyo wote.
Ningeomba ushauri wenu kutaka kuifanya biashara hii kuwa kivutio na tunda kwa walaji, nitumie njia gani ili biashara hii iweze kuwafikia walaji kwa wakati.
Naombeni ushauri, kama pia humu walaji mpo muwe tayari kunipa ushirikiano
Asanteni