usijaribu biashara ya Transportation kama unafanya part time,i.e umeajiriwa mahali pengine na hii iwe kazi ya pembeni.
utapata hasara kubwa mnoo.na usisikilize ushauri wa Dereva/fundi/utingo ukiambiwa kuwa inalipa sana.biashara hii inalipa kwa wao wanaofanya kazi ktk chombo na siyo mmiliki.
watafute wamiliki wa fuso/basi watakwambia ukweli.na wengi waliofanikiwa ktk hii biashara ni wale wanaofanya hii biashara on full time basis.
kwani gari likiharibika -wanasimamia kwa karibu matengenezo,limepata ajali anakwenda mwenyewe or anamtuma mtu wa karibu.kutafuta mizigo/wateja unakomaa mwenyewe.ukifanya hivyo ndo utaona biashara hii inalipa na utaweza kuzalisha pesa nzuri.