Drat JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,160 Reaction score 1,359 Jul 11, 2016 #1 Habari wadau? heshima yenu wote. Naombeni kujuzwa juu ya namna ya kuanzisha magazine, natakiwa niende wapi na vitu gani katika mamlaka? na pia naomba kufahamishwa printer yupi anafanya kazi nzuri kwa bei nafuu.Ahsanteni sana
Habari wadau? heshima yenu wote. Naombeni kujuzwa juu ya namna ya kuanzisha magazine, natakiwa niende wapi na vitu gani katika mamlaka? na pia naomba kufahamishwa printer yupi anafanya kazi nzuri kwa bei nafuu.Ahsanteni sana