kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 222
- 515
Kuna mambo hii nchi ukitafakari sn unaweza kukosa majibu. Taasisi husika zinazosajili institution nyeti kama za Dini Ni vijiwe vya kupigia hela tu, waziri yupo miaka nenda Rudi, msajili yupo nk.
Ukienda pale kwa msajili wa Taasisi hizo kwanza unakutana na majimama fulani yanakuchanganya kwa kelele, kinyongo, ugumu wa maelekezo, na njaa nje nje unaziona. Kinachohitajika hapo ni pesa yako tuu. They don't care unaelimu sijui ya theology utajijua mwenyewe.
Pili hakuna document yeyote inayokubalika hadi wakuzalishie wao hiyo document na utoe hela ya maana. Ukimaliza hilo mzunguko unaanza hakuna cha mwanasheria sijui wa msajili wala nini Ni mwendo wa hela tuu.
Picha ya nje tunayooneshwa Ni kwamba serikali ipo serious na usajili wa hizi taasisi kama umekidhi vigezo lkn Ni vituko tu.
Kuna case moja naijua " watu mamekidhi vigezo vyote vya usajili Kila kitu including elimu zao za Dini lkn miaka kumi hadi leo usajili hakuna, matokeo yake taasisi inakufa haiwezi kufanya issue yoyote kimaendeleo becoz hakuna account za benki wala utambulisho wowote na wafadhili wame-withdraw. On the other hand Kuna wahuni tu fulani ndani ya mwaka wana usajili tayari wanaendesha mambo yao.
Wito:
Taasisi za Dini kwa nchi kama Marekani na Ulaya zinapewa uzito mkubwa kama taasisi tanzu zinazoweza kuajili, kusaidia watu kijamii, kuanzisha miradi, nk nk hapa kwetu zinatafsiriwa kama ni tishio la usalama... wakati wanaohusika na usajili wamegeuza maduka.
Ifike wakati Serikali muwe serious jamani Kuna mambo ya aibu Sana huko.
Jibuni barua kwa wakati hatuwapi usajili au tunawapa usajili watu waendelee na harakati nyingine kuliko uhuni unaoendelea wa kutegeana mitego ya hela.
Ukienda pale kwa msajili wa Taasisi hizo kwanza unakutana na majimama fulani yanakuchanganya kwa kelele, kinyongo, ugumu wa maelekezo, na njaa nje nje unaziona. Kinachohitajika hapo ni pesa yako tuu. They don't care unaelimu sijui ya theology utajijua mwenyewe.
Pili hakuna document yeyote inayokubalika hadi wakuzalishie wao hiyo document na utoe hela ya maana. Ukimaliza hilo mzunguko unaanza hakuna cha mwanasheria sijui wa msajili wala nini Ni mwendo wa hela tuu.
Picha ya nje tunayooneshwa Ni kwamba serikali ipo serious na usajili wa hizi taasisi kama umekidhi vigezo lkn Ni vituko tu.
Kuna case moja naijua " watu mamekidhi vigezo vyote vya usajili Kila kitu including elimu zao za Dini lkn miaka kumi hadi leo usajili hakuna, matokeo yake taasisi inakufa haiwezi kufanya issue yoyote kimaendeleo becoz hakuna account za benki wala utambulisho wowote na wafadhili wame-withdraw. On the other hand Kuna wahuni tu fulani ndani ya mwaka wana usajili tayari wanaendesha mambo yao.
Wito:
Taasisi za Dini kwa nchi kama Marekani na Ulaya zinapewa uzito mkubwa kama taasisi tanzu zinazoweza kuajili, kusaidia watu kijamii, kuanzisha miradi, nk nk hapa kwetu zinatafsiriwa kama ni tishio la usalama... wakati wanaohusika na usajili wamegeuza maduka.
Ifike wakati Serikali muwe serious jamani Kuna mambo ya aibu Sana huko.
Jibuni barua kwa wakati hatuwapi usajili au tunawapa usajili watu waendelee na harakati nyingine kuliko uhuni unaoendelea wa kutegeana mitego ya hela.