Biashara ya guta za mizigo.

Mzee Mwafrika

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2007
Posts
203
Reaction score
104
Kama kuna anayefahamu bei za guta,upatikanaji wake na jinsi ya kufanya biashara nazo anijuze.Kuna mtu kanitonya kuwa zinaweza kuingiza pesa kuliko biashara ya teksi.
 
unazungumzia guta ya kuchochea au guta bajaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…