M Mzee Mwafrika JF-Expert Member Joined Sep 25, 2007 Posts 203 Reaction score 104 Sep 28, 2010 #1 Kama kuna anayefahamu bei za guta,upatikanaji wake na jinsi ya kufanya biashara nazo anijuze.Kuna mtu kanitonya kuwa zinaweza kuingiza pesa kuliko biashara ya teksi.
Kama kuna anayefahamu bei za guta,upatikanaji wake na jinsi ya kufanya biashara nazo anijuze.Kuna mtu kanitonya kuwa zinaweza kuingiza pesa kuliko biashara ya teksi.
makolola JF-Expert Member Joined Sep 15, 2014 Posts 765 Reaction score 289 Jul 3, 2015 #2 unazungumzia guta ya kuchochea au guta bajaji?