S sverige JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 417 Reaction score 176 Nov 7, 2013 #1 Heshima kwenu! nahitaji cacao iliyokuwa tayari kama tani moja yoyote alie kuwa nayo ani pm tuweze kufanya biashara malipo ni mazuri
Heshima kwenu! nahitaji cacao iliyokuwa tayari kama tani moja yoyote alie kuwa nayo ani pm tuweze kufanya biashara malipo ni mazuri
sangas Senior Member Joined Aug 26, 2012 Posts 135 Reaction score 95 Nov 7, 2013 #2 sverige said: Heshima kwenu! nahitaji cacao iliyokuwa tayari kama tani moja yoyote alie kuwa nayo ani pm tuweze kufanya biashara malipo ni mazuri Click to expand... kwani wewe unapatikana wapi na unanunua sh.ngapi kwa kilo moja,na tani itakuwa kiasi
sverige said: Heshima kwenu! nahitaji cacao iliyokuwa tayari kama tani moja yoyote alie kuwa nayo ani pm tuweze kufanya biashara malipo ni mazuri Click to expand... kwani wewe unapatikana wapi na unanunua sh.ngapi kwa kilo moja,na tani itakuwa kiasi
Don Mangi JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 2,199 Reaction score 852 Nov 7, 2013 #3 Post ipo kienyeji hakuna contacts, hujatoa offer ikaeleweka. . .biashara siyo rahisi hivyo .