Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Wadau,
Mwenye uelewa wa hii biashara ya hereni na mikufu ya gold bandia (english gold) naomba anipe uzoefu kidogo hasa kwenye mtaji wa duka la wastani.
Jinsi ya kuhifadhi hizi bidhaa,location,upatikanaji wake kwa bei ya jumla na mambo kadha wa kadha. ukipita Kariakoo utaona watu hasa wadada wanavyo miminika kwenye haya maduka.
Bila shaka itakua inalipa sana.
Mwenye uelewa wa hii biashara ya hereni na mikufu ya gold bandia (english gold) naomba anipe uzoefu kidogo hasa kwenye mtaji wa duka la wastani.
Jinsi ya kuhifadhi hizi bidhaa,location,upatikanaji wake kwa bei ya jumla na mambo kadha wa kadha. ukipita Kariakoo utaona watu hasa wadada wanavyo miminika kwenye haya maduka.
Bila shaka itakua inalipa sana.