Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Chapa kaz sana mwana, asante kuwastua wajuba na kuwasanua mataita...Mji wa Songea pamoja na kuwa mkubwa bado hiace ndio dala dala zinazopiga shanting za hapa na pale. Kwa kuwa kiwango cha 70,60,50 hadi 40 kinapelekwa kwa mwenye gari kwa siku narudia tena matajiri acheni kufungia ndani au kuuza kwa lazma hizi gari kwa kujua hazina thamani kibiashara.
Kuna mtu alikuja na hiace yake na aliishi kwa kuitegemea hyo gari sasa ana mbili na ya pili ni mpya zaidi i.e kimepanda.Chapa kaz sana mwana, asante kuwastua wajuba na kuwasanua mataita...
Kuna njia unalaza elf 70 gar lazma liwe na power ya kukimbia maana kuruka to and fro na kuna njia 40 kwa route 2 yani ikienda na kurud mara 2 kwa ck unapewa 40 na kuna wengne wanafanya 60 au 50 kulingana na gari zunguka uwezavyo.Toa muongozo vizuri 70 mpaka 40 ni kwa hiace aina gani mpya ama?
Kuna njia unalaza elf 70 gar lazma liwe na power ya kukimbia maana kuruka to and fro na kuna njia 40 kwa route 2 yani ikienda na kurud mara 2 kwa ck unapewa 40 na kuna wengne wanafanya 60 au 50 kulingana na gari zunguka uwezavyo.
Umeipata?Ni pm namba yako tafadhali
Bajaji zipo nyingi tu ndugu ni wewe tu.Bajaj hazijatia maguu huko? Maana sehemu nyingi sasa hadi ruti za bush Bajaj zimecamia
sawa ila cm yangu haifungui pm ya jamiiforumsNimekutumia ujumbe
Kama bajaji zipo ni swala la muda au hizo route unazosema ni km ngapi??? toka city center gari inaenda.....Bajaji zipo nyingi tu ndugu ni wewe tu.
Km ni 26 to 35 nakadiria na nauli ni elf 1. Bajaji kuna mahala zinaishia haziendi mbal kulingana na sheria walizoweka(by law). Kwa wanaoijua songea vizuri bajaji zinacheza toka stand ya mjini kwenda stand ya ruhuwiko(mbinga road) au kwenda stand ya seedfarm(namtumbo road) au msamala(njombe road). Nying znaenda ruhuwiko kutokana na ubize wa stand ya mbinga(ruhuwiko stand) bajaj naul ni 500Kama bajaji zipo ni swala la muda au hizo route unazosema ni km ngapi??? toka city center gari inaenda.....
kama unaweza kutoa taarifa vizuri itasaidia watu wanaolaza 20k au saa ingine wanatoka kavu kushawishika kuja songea....eleza vizuri mkuu. Mafuta nayo ni shida.
Eleza umbali na nauli za huko zikoje pia wingi wa abiria.
Imeona jumbe yangu pm?Nimekutumia ujumbe
Sasa nikutege kwa faida ya nani au mimi nimeomba hiace kwako? Mm nawapa njia ya kutumia hizo gari.Biashara zimevamiwa mno me nimefungia ndani labda mtu akodishe alipe kwa mwezi kabla hajaanza kutumia na analipa security fes kabisa kudanganywa na majinga kama haya hamjatupata wadau huyu amekuja kutega watu...
MkuuSasa nikutege kwa faida ya nani au mimi nimeomba hiace kwako? Mm nawapa njia ya kutumia hizo gari.
Huku kuna mtu anaitwa Paswero hiace zake anatumia jina la CNN anajumla ya hiace 36 na mwezi ujao unaongeza 10 tayari zinafanyiwa tu finishing Dar.
Kuna mwingne AGAPE Analeta 5, hivi zingekuwa hazina faida wangeleta kwa wingi huo?
Kama wewe ni agape unayeota kushika njia ya hospital ya peramiho peke yako sawa disheart others ili ufanikiwe.
Na kama wew ni cnn unaeota kuishka mlilayoyo na mtwangimbole peke yako swa wakatixhe wenzako tamaa.
Songea haiko mbali tafuta watu ulizia vizuri. Hata ukiweka gari stand ya mjin kwenda stand ya shule ya tanga ambayo naul mia 7 unapata hela.
Katika hli mim cpat faida wala hasara ukifanya au kuacha