Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
Wakuu salama ?
Nimekua nikisikia kuhusu hisa, watu wananunua na baadhi ya makampuni na mashirika yanakuwa yanauza hisa zao.
Hizi hisa bishara yake inafanywa kwa mtindo upi, yani kampuni inapataje faida na aliyenunua anapataje faida?
Na unaweza kuwekeza mfano kiasi gani ili upate faida huko kwenye hisa mana sionagi matangazo ya kuuza hisa kwenye vyombo vya habari
Mchango wenu ni muhimu sana wadau
Ahsanteni. :ranger:
Nimekua nikisikia kuhusu hisa, watu wananunua na baadhi ya makampuni na mashirika yanakuwa yanauza hisa zao.
Hizi hisa bishara yake inafanywa kwa mtindo upi, yani kampuni inapataje faida na aliyenunua anapataje faida?
Na unaweza kuwekeza mfano kiasi gani ili upate faida huko kwenye hisa mana sionagi matangazo ya kuuza hisa kwenye vyombo vya habari
Mchango wenu ni muhimu sana wadau
Ahsanteni. :ranger: