Biashara ya Hisa inaendeshwaje ?

Biashara ya Hisa inaendeshwaje ?

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,595
Reaction score
3,670
Wakuu salama ?

Nimekua nikisikia kuhusu hisa, watu wananunua na baadhi ya makampuni na mashirika yanakuwa yanauza hisa zao.
Hizi hisa bishara yake inafanywa kwa mtindo upi, yani kampuni inapataje faida na aliyenunua anapataje faida?

Na unaweza kuwekeza mfano kiasi gani ili upate faida huko kwenye hisa mana sionagi matangazo ya kuuza hisa kwenye vyombo vya habari

Mchango wenu ni muhimu sana wadau
Ahsanteni. :ranger:
 
biashara ya hisa sio siri ni kama umevimbiwaaa hela
return yake ni ndogo au ni ya kawaidaa saana tofaut na ungeenda kufanya michakato mingine
 
DSE wamelala.

Nenda ofisini kwao, kuna mawakala wa hisa.

Watakuelekeza
 
Return yake inaimpact km umewekeza mtaji mkubwa and ukiwekeza its either uwe unafatilia hiyo mkt inavyoenda ili share Zako zikipanda bei uuze au ukae usubir dividend ya kila mwaka
 
Nliwekeza some cash precision air, nimejuta!
 
Return yake inaimpact km umewekeza mtaji mkubwa and ukiwekeza its either uwe unafatilia hiyo mkt inavyoenda ili share Zako zikipanda bei uuze au ukae usubir dividend ya kila mwaka

Km kiasi gani mkuu, kwahyo ni km kununua pesa za kigeni na kusubiri zikipanda kidgo unauza,sio?
 
biashara ya hisa sio siri ni kama umevimbiwaaa hela
return yake ni ndogo au ni ya kawaidaa saana tofaut na ungeenda kufanya michakato mingine

Kwahyo ukiwa labda na milion haina ishu?
 
Na mm ningependa kujua wakuu,,muanzisha thread utatupa faida kupitia Uzi wako.
 
Ukinunua share unatakiwa uangalie kwanza kampuni ambazo zinagrow na unatakiwa ufanye mkt research ya kutosha kuwekeza kwenye hisa maana unaweza pata hasara km biashara nyingine tu
 
Ni kuwekeza kwenye forex km ukinunua kwa mfano usd 1000 au hata usd 10000 afu usubiri rate ipande ndo uuze huwez kuona impact coz amount ni ndogo sana so labda uwekeze amount kubwa ili ikipanda tu kidogo unauza and unaweza kuona impact
 
Hisa ni wizi wa kisayansi,sometimes makampuni yanadanganya kuhusu interest/profit (wana minimise)waliyopata kutokana na wekezo lako
 
Ukinunua share unatakiwa uangalie kwanza kampuni ambazo zinagrow na unatakiwa ufanye mkt research ya kutosha kuwekeza kwenye hisa maana unaweza pata hasara km biashara nyingine tu

Bas sawa, inaonekana km una ela ya mawazo hii kitu haifai
 
Wakuu salama ?

Nimekua nikisikia kuhusu hisa, watu wananunua na baadhi ya makampuni na mashirika yanakuwa yanauza hisa zao.
Hizi hisa bishara yake inafanywa kwa mtindo upi, yani kampuni inapataje faida na aliyenunua anapataje faida?

Na unaweza kuwekeza mfano kiasi gani ili upate faida huko kwenye hisa mana sionagi matangazo ya kuuza hisa kwenye vyombo vya habari

Mchango wenu ni muhimu sana wadau
Ahsanteni. :ranger:

Naona wote wamepiga makelele tu

Sasa kwa ufupi
----------------------
1. Hisa
~ Is a unit of coy capital and ownership of coy husika (kwa maelezo), kwa kupeleka pesa zako pale DSE na kupewa certificate ya coy ambayo imekuwa listed pale ambayo sasa zipo kama 18 hivi

2. Biashara sasa.
~ Coy listed au non listed zinazo tafuta mtaji au kuongeza mtaji katika biashara zao wanauza hisa.

~Wewe unapeleka pesa kwa DSE to coy husika kutokana na kiwango chao cha hisa husika
mfano
---------
Hisa 1 @ sh 600 maana yake ili uwe na hisa 10 kwa coy husika unapeleka sh 6000 zote au on appl & allotment na some charges kidogo tu, then unasubiri kwa miezi 1,3,6,9,12 mmoja wapo mnakubariana unapata gain/loss kwa riba utakayopewa na coy husika (KWAHIYO KUNA FAIDA AU LOSS) kwani coy husika ina peleka pesa ile kufanyia kazi na profit ikipatikana mnagawana kwa interst rate mliokubariana.

~ Kuna hisa za aina mbili ordinary na prefference.

~Biashara nzuri sana kama unamtaji mkubwa, kwani bei inaweza panda ukauza kwa bei juu au shuka ukapata hasara

Nadhani kwa ufipi tu huu utakuwa umeelewa mkuu.

More Go To DSE,
PSPF TOWER near PPF TOWER.
 
Ilikuwaje mkuu,,em tushirikishe japo kidogo

Hisa za precision airways hazijapanda thamani kwa takriban miaka mitatu toka ziwepo sokoni, kwa wale wa mitaji mikubwa wamekula loss na kampuni maana miaka yote hiyo hakuna pia gawio la faida iliyopatikana! watanzania wengi waliowekeza pale wanasali kuliombea shirika hilo la ndege lisife ili siku moja waonje matunda ya hisa zao kama ilivyo kwa wenye hisa katika kampuni ya sigara.
 
@dse ni member hapa jf,zamani walikuwa na sticky thread yao jukwaa la biashara,hebu jaribu kuperuzi humu kwanza maaana jf ni kisima cha maarifa
 
Back
Top Bottom