Naona wote wamepiga makelele tu
Sasa kwa ufupi
----------------------
1. Hisa
~ Is a unit of coy capital and ownership of coy husika (kwa maelezo), kwa kupeleka pesa zako pale DSE na kupewa certificate ya coy ambayo imekuwa listed pale ambayo sasa zipo kama 18 hivi
2. Biashara sasa.
~ Coy listed au non listed zinazo tafuta mtaji au kuongeza mtaji katika biashara zao wanauza hisa.
~Wewe unapeleka pesa kwa DSE to coy husika kutokana na kiwango chao cha hisa husika
mfano
---------
Hisa 1 @ sh 600 maana yake ili uwe na hisa 10 kwa coy husika unapeleka sh 6000 zote au on appl & allotment na some charges kidogo tu, then unasubiri kwa miezi 1,3,6,9,12 mmoja wapo mnakubariana unapata gain/loss kwa riba utakayopewa na coy husika (KWAHIYO KUNA FAIDA AU LOSS) kwani coy husika ina peleka pesa ile kufanyia kazi na profit ikipatikana mnagawana kwa interst rate mliokubariana.
~ Kuna hisa za aina mbili ordinary na prefference.
~Biashara nzuri sana kama unamtaji mkubwa, kwani bei inaweza panda ukauza kwa bei juu au shuka ukapata hasara
Nadhani kwa ufipi tu huu utakuwa umeelewa mkuu.
More Go To DSE,
PSPF TOWER near PPF TOWER.
cheki hapa kuna mdau alishauliza na issue ikajibiwa kwa urefu
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/638786-soko-la-hisa.html#post9223039
Unanunuwa na kuuza kama biashara nyingine yeyote ile.
Kwa kwetu hapa, soko letu la hisa bado ni changa sana na mpaka leo hii huwezi ukaifanya kila kukicha, inabidi uwe na mtaji wa ziada ambao utawekeza kwa kununuwa hizo hisa na kuziuza unapoona zimepanda bei. Aghalabu sana kwa sasa kwa hapa kwetu.
Kwa kwetu unaweza kutumia soko la hisa kama umeweka akiba, badala ya kuweka benki.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na: Tanzania Securities Limited
biashara ya hisa sio siri ni kama umevimbiwaaa hela
return yake ni ndogo au ni ya kawaidaa saana tofaut na ungeenda kufanya michakato mingine
Nliwekeza some cash precision air, nimejuta!
Ina return ndogo kama unapesa ndogo kweli kama unanunua hisa crdb za 150,000/- hapo kwenye dividend ukipata hata buku 5,000/- shukuru, ila uzuri ukiona haupat faida wakiziuza kwa premium we unajitaftia zako mteja pale DSE unauza na kujipatia kafaida kako.
Kwa Tz hailipi sana , mimi nilinunua swiss port miaka mitano iliyopita nilinunua kwa shilingi 600 kwa hisa moja , sasa hivi ni shilingi 2700 pia huwa napata dividends mara mbili kwa mwaka .Pia share certifitate unaweza itumia kama dhamana ya mkopo kwenye mabenki.
Kwahyo unaweza kununua hisa af ukaziacha kwa miaka unayotaka ww kumbe
Kwahyo unaweza kununua hisa af ukaziacha kwa miaka unayotaka ww kumbe