Fuqin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 306
- 625
Natumai mu wazima wadau,
Katika pitapita zangu mitaani nimeona maduka yanauza Ice cream pamoja na snacks za kutafuna na unakuta pamejengwa mazingira mazuri kuna viti na meza nje watu wanatoka sehem mbalimbali wanakuja kuenjoy na familia zao. Mfano kuna magomeni Ice cream center na nyengine nyingi.
Mtaji wake kwenye ml 5 tu nadhani inatosha lakini sijajua faida yake kwa siku unaingiza bei gani let say 50000 kwa siku unaweza kupata? Nataka nijitose huko wadau.
Pia, soma: Biashara ya kutengeneza na kuuza "Askrimu" (Ice Lollies)
Katika pitapita zangu mitaani nimeona maduka yanauza Ice cream pamoja na snacks za kutafuna na unakuta pamejengwa mazingira mazuri kuna viti na meza nje watu wanatoka sehem mbalimbali wanakuja kuenjoy na familia zao. Mfano kuna magomeni Ice cream center na nyengine nyingi.
Mtaji wake kwenye ml 5 tu nadhani inatosha lakini sijajua faida yake kwa siku unaingiza bei gani let say 50000 kwa siku unaweza kupata? Nataka nijitose huko wadau.
Pia, soma: Biashara ya kutengeneza na kuuza "Askrimu" (Ice Lollies)