Biashara ya ice cubes

Biashara ya ice cubes

madigida

Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
40
Reaction score
2
Habarini wana jamvi wote , Mimi nafikiria kuanzisha biashara ya kutengeneza na kuuza mabonge ya barafu. Naomba kufahamishwa wapi nitapata ice cubing machine na kwa bei gani, au pia kama inawezekana kuzitengeneza kwa kutumia deepfrezer. Mimi ninaishi Tanga mjini. Nitashukuru kwa michango yenu.
 
Back
Top Bottom