Soko la miwa Tandika na Tandale Mashine kuna za kichina hapo kariakoo pia kuna zile za sido nenda sido utapata uliza lingine...Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii biashara ni ipi ,,, pia kama una input yoyote naomba unishirikishe
Changamoto Zipo ndogo ndogo kama kipind hich cha mvua wateja wachache nzi wengi na ukitaka namba ya muuza miwa wa tandika ninayoSoko la miwa Tandika na Tandale Mashine kuna za kichina hapo kariakoo pia kuna zile za sido nenda sido utapata uliza lingine...
Sasa kulikuwa na haja gn ya kuweka sukari hapo π kwamba ugeni wa biashara anaweza kuweka sukari kwenye juisi ya miwa πBando moja linauzwa elfu 11 linakuwa na miwa ya kutoa juisi glass 65 mpaka 75 za 500. Na barafu za elfu 5 zinawez kutumika kusukuma mizigo ya miwa 4. Hauna haja ya kununua sukari
UsafiNaomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii biashara ni ipi ,,, pia kama una input yoyote naomba unishirikishe
Wanaongezaga mkuu mana mda mwingine barafu zinadailuti ladha ya muwa so juisi inapoozagaSasa kulikuwa na haja gn ya kuweka sukari hapo π kwamba ugeni wa biashara anaweza kuweka sukari kwenye juisi ya miwa π
Kuna moja hy nilikunywa yn kajaza barafu mpaka ladha ya muwa imeisha, yn nimlimpa pesa bc tuuWanaongezaga mkuu mana mda mwingine barafu zinadailuti ladha ya muwa so juisi inapoozaga
Ni biashara nzur sana hii ukipata kijiwe. Wengine wanajaza maj n kuongeza sukariKuna moja hy nilikunywa yn kajaza barafu mpaka ladha ya muwa imeisha, yn nimlimpa pesa bc tuu
Sasa kila biashara n Location/kijiwe tuuNi biashara nzur sana hii ukipata kijiwe. Wengine wanajaza maj n kuongeza sukari
Binafs mda huu niko kitaa nasubir bom la tpd.. investor nawez kumtafutia kijiwe hapa mbagalaSasa kila biashara n Location/kijiwe tuu