Ndugu wanajf,nilikuwa natafuta mtu mwenye masoko ya kaa nje ya nchi kama asia,ulaya na usa.nina mtaji wa kununua tani moja na kusafirisha,alafu faida itakayopatikana tunagawana .wasalaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.