Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Ukipata hoteli inayosogeza sana Sea food unatoboa mapema kabisa.Wakuu kuna mtu ameniambia kuwa kuna biashara anafanya ya kuchukua kamba kochi toka Msumbiji na kuwaleta Dsm,soko lake kubwa lipo kwa wachina .
Tupeana info kwa mwenye kujua zaidi hii biashara ipoje na changamoto zake, na bei ya soko ipoje!? Na je sio nyara za serikali kweli
Anawatoa msumbiji,anawauzia wachina wapo DarUkipata hoteli inayosogeza sana Sea food unatoboa mapema kabisa.
Lobster, calamari, octopus na King fish wana bei nzur sana huko. Hawa kuwauzia wabongo kwa kilo shughuli pevu hasa hao lobster. Yeye anauzia wachina wa wapi
One day nitakugeuza kama samaki sato pande zote mbili aka k -kostantUzuri wa samaki anapoliwa na kugeuzwa kisha analiwa tena
Hana mifuko huyo, hata gizani unakula tuUzuri wa samaki anapoliwa na kugeuzwa kisha analiwa tena
Inaonekana unapenda kuchimbwa gesiUzuri wa samaki anapoliwa na kugeuzwa kisha analiwa tena
Sasa mshangazi km wewe si unageuzwa watu wanatwanga kinu cha dagaamcheleUzuri wa samaki anapoliwa na kugeuzwa kisha analiwa tena