Neema Massawe
Member
- Aug 13, 2014
- 44
- 9
Kuna biashara ya mtandao wa kidunia ipo hewani ambapo unaelekeza watu wanunue software online na unalipwa kwa miongo 7 kwenda chini kwenye mtandao wako na malipo mengine ni miongo yote kwenda chini bila kikomo.
Software hizi zinakuwezesha kujilinda na wizi wa information za watu mtandaoni (identity theft) pamoja na kukuwezesha ku store information zako bila kikomo with unlimited gigabytes online (Cloud). Software unazi install online hivyo hakuna haja ya kutembea na kitu cha kuuza barabarani au kwenye duka. Bidhaa hizi unaweza kuziuza kwa makampuni makubwa, serikalini na kwa watu binafisi pia kwani wote hawa wanahitaji kuwa na ulinzi wa login details na information zingine zinazowahusu wao ambazo ni za siri sisiibiwe na wahalifu wa mtandaoni.
Sasa hivi kuna wizi mkubwa sana wa information za watu mtandaoni unaofanywa na hackers wapya wanaoitwa Keyloggers. Hawa wanajificha kati ya keyboard yako na computer au simu ya mkononi. Kila unachoki type kwenye input field online wao wanakirekodi na hivyo kukiiba. Kwa mfano unapo login kwenye account yako ya mtandao wa kijamii (mfano Facebook) au kwenye email account yako au kwenye Paypal account yako au unapo type credit card namba zako kwenye duka la mtandaoni ili ununue bidhaa basi wao wanarekodi hizi information zako halafu wanazitumia ku hack accounts zako au kutumia credit card yako au Paypal accunt yako kufanya manunuzi yao binafsi kwa kutumia hela zako.
Tatizo hili ni kubwa mno kuliko tunavyolifikiria kwani anti-virus software haziwezi kuwatambua sehemu kubwa ya hawa Keyloggers. Vilevile mtu yeyote yule anaweza ku download software hii ya Keyloggers online akaitumia kuiba information za mtu, biashara au serikalini kwa madhumuni ya kufanya uhalifu au kuuza hizo information kwa wezi ili apate kipato.
Tumesikia viongozi wetu wengi wanalalamika accounts zao za kwenye mitandao ya kijamii au email accounts zao zimeingiliwa na watu ambao ama wanatumia majina yao kufanya utapeli au wanawaibia information zao kwa malengo ya kisiasa au ya kiuhalifu. Viongozi hawa bila shaka wanazo anti-virus software kwenye computer au mobile devices zao wanazotumia kuingia mtandaoni lakini haziwasaidii kuwalinda na uhalifu huu. Ushauri wanaopewa wanapopata haya matatizo ya kuingiliwa accounts zao ni wa utani kwani wanaambiwa wabadilishe password. Hata ukibadilisha bado Keylogger ataipata hiyo password mpya na athari zitabaki palepale!!!!
Njia pekee ni kutumia encryption software inayo badilisha information zako unazozi type online kuwa random numbers ambazo hazina maana hivyo Keyloggers atashindwa kuziiba information zako.
Kujua ukubwa wa tatizo hili fuatilia Makala hii ya Kiingereza iliyoandikwa na New York Times
http://www.nytimes.com/2014/08/06/t...billion-stolen-internet-credentials.html?_r=0
Au sikiliza video hii inayoeleze suala hilohilo hapo juu ambao hackers wa Russia wameiba login details za watu mtandaoni zaidi ya 1.2 billion, idadi ambayo ni nusu ya watumiaji wote wa mtandao duniani!!!!
Russian crime ring allegedly steals 1 billion usernames, passwords - YouTube
Bidhaa nyingine ambayo inauzwa kwa pamoja na hiyo ya encryption in CFA Cloud ambayo inakuwezesha ku store information zako (documents, pictures, videos, n.k.) online bila kikomo. Bidhaa hii ni bora zaidi ukilinganisha na offline storage devices kama flash disk au external hard drives kwani hizi za offline zinaweza kupotea, kuibiwa, zipo limited kwa kiasi cha gigabytes zinazoweza ku store na zipo ghali mno ukilinganisha na bidhaa za mtandao huu. Kwa mfano, ukinunua hizi bidhaa zote mbili za mtandao kama mnunuzi tu asiyehitaji kuwa kwenye biashara ya Affiliate (Sales Partener) basi kwa kompyuta moja unalipa dola 6 kama fee ya mara moja yaku download hizi software na dola 5 kila mwezi. Hivyo kwa mwaka utakuwa umelipia dola 66 tu wakati ukitaka kununua external hard drive ya 2,000 gigabytes ili u store data zako humo basi bei ya chini utakayoweza kununua hiyo ni dola 150.
Software hizi zinatumiwa kwa sasa na makampuni makubwa ya duniani kama vile Oracle, Morgan Stanley, n.k. Software zina haki miliki hivyo hakuna mtu atakayeweza kuziiga.
Ili kuingia kwenye biashara hii ya mtandao na kuweza kupata commission kwenye mtandao wako, inabidi ununue hizi software katika level ya Sales Partner ambapo kuna package tatu na unachagua moja wapo kama ifuatavyo:
1. Cyber Friend package (4 computers / 2 Premium)
One time download fee: $15
Monthly subscription fee: $14 / month
2. Affiliate Partner package (8 computers / 4 Premium)
One time download fee: $45
Monthly subscription fee: $26 / month
3. Executive Partner package (14 computers / 6 Premium)
One time download fee: $59
Monthly subscription fee: $44 / month
Kuna aina 7 za commissions utakazozipata ukiwa Affiliate wa mtandao huu nazo ni:
1. Comission inayolipwa mara tu mtu uliyemualika anaponunua Sales Partner package ambapo utalipwa dola 7 kama amenunua Cyber Friend, dola 25 kama amenunua Affiliate na dola 35 kama amenunua Executive Partner Package.
2. Commission ya mwezi unayolipwa wakati watu uliowaalika moja kwa moja wanapolipia subscriptions zao za mwezi ambapo utapata dola 3 kwa kila aliyenunua Cyber Friend, dola 6 kwa kila aliyenunua Affiliate na dola 11 kwa kila aliyenunua Executive Partner Package.
3. Commission ya mwezi unayolipwa kwa wanachama wote waliyonunua Sales Partner Packages chini yako kwa miongo 7 kwenda chini ambayo ni dola 0.01 ($10c) kwa kila mwanachama.
4. Commission ya kuanza biashara hii kwa kishindo (Fast Start Bonus) ambapo utaipata kama utawaingiza wanachama angalau watatu ndani ya mwezi uliojiungia kununua package yoyote ile ya Sales Partner. Kutegemea na package iliyonunuliwa utalipwa dola 3 kwa Cyber Friend, dola 5 kwa Affiliate na dola 10 kwa Executive Partner Packages.
5. Commission ya mwezi (monthly coded bonus) unayoipata kutoka kwa Sales Partners waliokuwa coded kwako. Kila mwanachama wa kwanza, wa tatu, wa tano, wa saba na kuendelea ambaye ni Sales Partner uliyemualika wewe basi anakuwa coded kwako. Hawa nao watapokea monthly coded bonuses kutoka kwa subscriptions za wanachama waliowaalika wa kwanza, tatu, tano, saba na kuendelea na wewe utapata monthly coded bonuses kutoka kwa wanachama wao wa pili, nne na sita tu na sio tu kwao bali katika mtandao wako wote bila kikomo kwenda chini (infinity generations deep) ambao watakuwa coded kwako. Wanachama wote waliokuwa coded kwako ndani ya mtandao huu watakupatia commission hii ya mwezi. Kama wewe ni Affiliate basi unapata coded bonus ya mwezi ya dola 3 kwa wale waliokuwa Cyber Friend, dola 5 kwa mwezi kwa wale waliokuwa Affiliates na Executive Partners. Kama wewe umenunua Executive Partner Package basi unapata dola 3 kwa mwezi kwa kila aliyenunua Cyberfriend chini yako, dola 5 kwa kila aliyenunua Affiliates na dola 15 kwa kila aliyenunua Executive Package ambaye yuko coded kwako.
6. Wakati watu waliopo chini yako waliokuwa coded kwako wanapopata monthly coded bonuses basi na wewe unalipwa asilimia 10 ya malipo waliyoyapata. Hii inaitwa Monthly Matching Coded Bonus. Ukiwa kwenye Cyber Friend utalipwa hii bonus kwa watu waliokuwa coded kwako ambao uliyowaalika wewe tu. Ukiwa kwenye Affiliate utalipwa hii bonus kwa watu waliokuwa coded kwako kwa miongo miwili kwenda chini. Ukiwa kwenye Executive Package utalipwa hii bonus kwa watu waliokuwa coded kwako kwa miongo mitatu kwenda chini.
7. Malipo ya bonus kutokana na juhudi ya kukuza mtandao wako. Haya malipo yanajumuisha malipo ya dhahabu, hisa za kampuni, malipo ya mafuta ya kuendeshea gari, malipo ya huduma ya afya, malipo ya likizo, malipo ya bonus kwa ajili ya kununua gari na nyumba kutegemea na kiwango chako cha utendaji.
Hayo malipo yalioanishwa hapo juu ni malipo unayoyapata kwa wanachama ndani ya mtandao wako ambao ni Sales Partner. Kuna malilpo mengine utakayoyapata kwa wanachama ambao wao wanachotaka ni kununua hizi software tu na kuzitumia. Hawahitaji kuwa Sales Partner au kupata shares za kampuni. Kundi hili ni la makampuni makubwa, serikalini, wizarani, wanasiasa wakongwe na wafanyabiashara wakubwa ambao kwenye mtandao wanajulikana kama Consumers. Mapato haya nayo utayapata miongo 7 kwenda chini ndani ya mtandao wako.
Nimeambatanisha Cyberwealth Compensation Plan kwa wale watakaopenda kujua mfumo huu wa malipo wa mtandao huu.
Malipo yanafanyika kupitia ofisi yako ndani ya mtandao. Unapata account ya e-wallet ambayo mapato yako na malipo yako yanaingizwa humo. Kuna njia nyingi za kuhamisha mapato yako kutoka kwenye e-wallet account yako kwenda kwako. Utaweza kuhamisha kwa kuzituma pesa zako kwenda kwenye akaunti yako ya benki au kupitia Western Union au Moneygram au company check au kwenye prepaid card yako.
Soko lako kwenye biashara hii ni dunia nzima. Halina kikomo kwani mtu alipo popote pale duniani ukimuelezea hii fursa na akajiunga kupitia kwako basi anakuwa chini ya mtandao wako wa kupata commission.
Juu ya kipato cha mtandao kwa miongo 7 kwenda chini, utapata vilevile hisa 10 utakapojiunga na hisa 10 zingine kwa kila mtu utakayemualika kupitia kiungo chako utakachokipata mara baada ya kujiunga. Hisa milioni 7 zimetengwa kwa ajili ya campaign hii dunia nzima na zitaendelea kugawiwa kwa njia hii mpaka ziishe. Hisa utakazozipata zitakuwezesha kupata gawio la faida ya kampuni (profit sharing dividend) kila baada ya miezi mitatu kuanzia mwezi Machi 2015. Hii ni fursa adimu ya kuwa mmiliki wa kampuni kubwa ya kidunia yenye bidhaa bora ambayo huwezi kuipata kwenye fursa zingine za biashara ya mtandao. Wahi fursa hii ya kuwa mmiliki kabla haijatokomea ili upate fursa zote mbili.
Kwa maelezo zaidi, tutembelee ofisi yetu inayoitwa Biznocrats Consulting Enterprise iliyopo Makumbusho Bus Terminal & Shopping Complex, Block A, First Floor (Juu ya Uchumi Supermarket) kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Kwa mawasiliano piga namba hii 0658977330
Kwa wale ambao hawako Dar es Salaam, mnaweza kujiunga na fursa hii moja kwa moja huko mlipo halafu tutawasiliana punde baada ya kujiunga ili kuwapa maelezo ya ziada na kujibu maswali yenu mtakayokuwa nayo.
Ili kukamilisha zoezi la kujiunga basi zingatia maelezo yafuatayo:
Bonyeza kiungo hiki hapa goo.gl/Iyy9aD
Video itafunguka inayoelezea kuhusu fursa hii na utaisikiliza mpaka mwisho kisha utashuka chini (scroll down) na kujaza fomu kwa kuweka jina lako la kwanza, jina lako la mwisho, barua pepe yako na utachagua lugha (language) English halafu utabonyeza Continue.
Video ya pili itafunguka inayoelezea kwa undani bidhaa za kampuni na umuhimu wa kuzitumia. Utaisikiliza mpaka mwisho halafu utashuka chini na kubonyeza CLAIM SHARES. Utakuwa umepata hisa 10 na utatakiwa kwenda kwenye barua pepe yako uliyotumia kujiungia na huko utakuta email kutoka kampuni (Cyberwealth). Utaifungua na kuisoma na chini utaona kiungo cha Confirm Stock. Utakibonyeza na ukurasa mwingine utafunguka ambapo utasikiliza video itakayofunguka na kisha kushuka chini ili kujaza fomu ya kurejista hisa zako katika daftari la wamiliki la kampuni. Utajaza namba yako ya simu, mahali unapoishi (Adress), mkoa unaoishi, utaacha kujaza kwenye State kwani hiyo ni kwa Wamarekani, postal address kwa Tanzania ni 255, utachagua nchi Tanzania, utajaza username yako utakayoitumia kwenye tovuti za mtandao, utajaza password yako halafu utai confirm, utabonyeza kiboksi cha kukubali masharti (Terms and Condititions) halafu utashuka chini na kubonyeza Register Now.
Baada ya hapo utakuwa umemaliza mchakato wa kujisajili na pop up window itatokea na kukufahamisha kwamba umemaliza kujiunga (You have successfully regitered. Thank You) au kama kuna tatizo kwenye usajili wako itakufahamisha. Utabonyeza OK kisha tovuti ya mtandao itafunguka inayokutaka u login. Uta login na utakuwa kwenye ofisi yako ya biashara hii ya mtandao. Utabonyeza kwenye Marketing System ili uende kwenye ofisi ya hisa ambapo utalogin tena kwa kutumia username na password yako uliyotumia kujiungia. Kwa sababu utakuwa una login kwa mara ya kwanza, utakubali masharti kwa kubonyeza kiboksi na kisha kubonyeza Accept chini.
Ndani ya hiyo offisi, utakuta link yako ya kualikia watu inayokutambua wewe kama mualikaji kwenye kiungo cha My Campaign Link. Link mwisho imeishia na namba 8. Utai copy na utai save kwenye word document au pad ili uwe unaichukua wakati wowote ule unapotaka kumualika mtu.
Utaweza kuona vilevile hisa zako katika kiungo cha My Stock Shares ampapo utakuta hisa 10 ulizopata baada ya kujiunga na zile utakazopata kwa kuwaalika watu katika mtandao huu.
Software hizi zinakuwezesha kujilinda na wizi wa information za watu mtandaoni (identity theft) pamoja na kukuwezesha ku store information zako bila kikomo with unlimited gigabytes online (Cloud). Software unazi install online hivyo hakuna haja ya kutembea na kitu cha kuuza barabarani au kwenye duka. Bidhaa hizi unaweza kuziuza kwa makampuni makubwa, serikalini na kwa watu binafisi pia kwani wote hawa wanahitaji kuwa na ulinzi wa login details na information zingine zinazowahusu wao ambazo ni za siri sisiibiwe na wahalifu wa mtandaoni.
Sasa hivi kuna wizi mkubwa sana wa information za watu mtandaoni unaofanywa na hackers wapya wanaoitwa Keyloggers. Hawa wanajificha kati ya keyboard yako na computer au simu ya mkononi. Kila unachoki type kwenye input field online wao wanakirekodi na hivyo kukiiba. Kwa mfano unapo login kwenye account yako ya mtandao wa kijamii (mfano Facebook) au kwenye email account yako au kwenye Paypal account yako au unapo type credit card namba zako kwenye duka la mtandaoni ili ununue bidhaa basi wao wanarekodi hizi information zako halafu wanazitumia ku hack accounts zako au kutumia credit card yako au Paypal accunt yako kufanya manunuzi yao binafsi kwa kutumia hela zako.
Tatizo hili ni kubwa mno kuliko tunavyolifikiria kwani anti-virus software haziwezi kuwatambua sehemu kubwa ya hawa Keyloggers. Vilevile mtu yeyote yule anaweza ku download software hii ya Keyloggers online akaitumia kuiba information za mtu, biashara au serikalini kwa madhumuni ya kufanya uhalifu au kuuza hizo information kwa wezi ili apate kipato.
Tumesikia viongozi wetu wengi wanalalamika accounts zao za kwenye mitandao ya kijamii au email accounts zao zimeingiliwa na watu ambao ama wanatumia majina yao kufanya utapeli au wanawaibia information zao kwa malengo ya kisiasa au ya kiuhalifu. Viongozi hawa bila shaka wanazo anti-virus software kwenye computer au mobile devices zao wanazotumia kuingia mtandaoni lakini haziwasaidii kuwalinda na uhalifu huu. Ushauri wanaopewa wanapopata haya matatizo ya kuingiliwa accounts zao ni wa utani kwani wanaambiwa wabadilishe password. Hata ukibadilisha bado Keylogger ataipata hiyo password mpya na athari zitabaki palepale!!!!
Njia pekee ni kutumia encryption software inayo badilisha information zako unazozi type online kuwa random numbers ambazo hazina maana hivyo Keyloggers atashindwa kuziiba information zako.
Kujua ukubwa wa tatizo hili fuatilia Makala hii ya Kiingereza iliyoandikwa na New York Times
http://www.nytimes.com/2014/08/06/t...billion-stolen-internet-credentials.html?_r=0
Au sikiliza video hii inayoeleze suala hilohilo hapo juu ambao hackers wa Russia wameiba login details za watu mtandaoni zaidi ya 1.2 billion, idadi ambayo ni nusu ya watumiaji wote wa mtandao duniani!!!!
Russian crime ring allegedly steals 1 billion usernames, passwords - YouTube
Bidhaa nyingine ambayo inauzwa kwa pamoja na hiyo ya encryption in CFA Cloud ambayo inakuwezesha ku store information zako (documents, pictures, videos, n.k.) online bila kikomo. Bidhaa hii ni bora zaidi ukilinganisha na offline storage devices kama flash disk au external hard drives kwani hizi za offline zinaweza kupotea, kuibiwa, zipo limited kwa kiasi cha gigabytes zinazoweza ku store na zipo ghali mno ukilinganisha na bidhaa za mtandao huu. Kwa mfano, ukinunua hizi bidhaa zote mbili za mtandao kama mnunuzi tu asiyehitaji kuwa kwenye biashara ya Affiliate (Sales Partener) basi kwa kompyuta moja unalipa dola 6 kama fee ya mara moja yaku download hizi software na dola 5 kila mwezi. Hivyo kwa mwaka utakuwa umelipia dola 66 tu wakati ukitaka kununua external hard drive ya 2,000 gigabytes ili u store data zako humo basi bei ya chini utakayoweza kununua hiyo ni dola 150.
Software hizi zinatumiwa kwa sasa na makampuni makubwa ya duniani kama vile Oracle, Morgan Stanley, n.k. Software zina haki miliki hivyo hakuna mtu atakayeweza kuziiga.
Ili kuingia kwenye biashara hii ya mtandao na kuweza kupata commission kwenye mtandao wako, inabidi ununue hizi software katika level ya Sales Partner ambapo kuna package tatu na unachagua moja wapo kama ifuatavyo:
1. Cyber Friend package (4 computers / 2 Premium)
One time download fee: $15
Monthly subscription fee: $14 / month
2. Affiliate Partner package (8 computers / 4 Premium)
One time download fee: $45
Monthly subscription fee: $26 / month
3. Executive Partner package (14 computers / 6 Premium)
One time download fee: $59
Monthly subscription fee: $44 / month
Kuna aina 7 za commissions utakazozipata ukiwa Affiliate wa mtandao huu nazo ni:
1. Comission inayolipwa mara tu mtu uliyemualika anaponunua Sales Partner package ambapo utalipwa dola 7 kama amenunua Cyber Friend, dola 25 kama amenunua Affiliate na dola 35 kama amenunua Executive Partner Package.
2. Commission ya mwezi unayolipwa wakati watu uliowaalika moja kwa moja wanapolipia subscriptions zao za mwezi ambapo utapata dola 3 kwa kila aliyenunua Cyber Friend, dola 6 kwa kila aliyenunua Affiliate na dola 11 kwa kila aliyenunua Executive Partner Package.
3. Commission ya mwezi unayolipwa kwa wanachama wote waliyonunua Sales Partner Packages chini yako kwa miongo 7 kwenda chini ambayo ni dola 0.01 ($10c) kwa kila mwanachama.
4. Commission ya kuanza biashara hii kwa kishindo (Fast Start Bonus) ambapo utaipata kama utawaingiza wanachama angalau watatu ndani ya mwezi uliojiungia kununua package yoyote ile ya Sales Partner. Kutegemea na package iliyonunuliwa utalipwa dola 3 kwa Cyber Friend, dola 5 kwa Affiliate na dola 10 kwa Executive Partner Packages.
5. Commission ya mwezi (monthly coded bonus) unayoipata kutoka kwa Sales Partners waliokuwa coded kwako. Kila mwanachama wa kwanza, wa tatu, wa tano, wa saba na kuendelea ambaye ni Sales Partner uliyemualika wewe basi anakuwa coded kwako. Hawa nao watapokea monthly coded bonuses kutoka kwa subscriptions za wanachama waliowaalika wa kwanza, tatu, tano, saba na kuendelea na wewe utapata monthly coded bonuses kutoka kwa wanachama wao wa pili, nne na sita tu na sio tu kwao bali katika mtandao wako wote bila kikomo kwenda chini (infinity generations deep) ambao watakuwa coded kwako. Wanachama wote waliokuwa coded kwako ndani ya mtandao huu watakupatia commission hii ya mwezi. Kama wewe ni Affiliate basi unapata coded bonus ya mwezi ya dola 3 kwa wale waliokuwa Cyber Friend, dola 5 kwa mwezi kwa wale waliokuwa Affiliates na Executive Partners. Kama wewe umenunua Executive Partner Package basi unapata dola 3 kwa mwezi kwa kila aliyenunua Cyberfriend chini yako, dola 5 kwa kila aliyenunua Affiliates na dola 15 kwa kila aliyenunua Executive Package ambaye yuko coded kwako.
6. Wakati watu waliopo chini yako waliokuwa coded kwako wanapopata monthly coded bonuses basi na wewe unalipwa asilimia 10 ya malipo waliyoyapata. Hii inaitwa Monthly Matching Coded Bonus. Ukiwa kwenye Cyber Friend utalipwa hii bonus kwa watu waliokuwa coded kwako ambao uliyowaalika wewe tu. Ukiwa kwenye Affiliate utalipwa hii bonus kwa watu waliokuwa coded kwako kwa miongo miwili kwenda chini. Ukiwa kwenye Executive Package utalipwa hii bonus kwa watu waliokuwa coded kwako kwa miongo mitatu kwenda chini.
7. Malipo ya bonus kutokana na juhudi ya kukuza mtandao wako. Haya malipo yanajumuisha malipo ya dhahabu, hisa za kampuni, malipo ya mafuta ya kuendeshea gari, malipo ya huduma ya afya, malipo ya likizo, malipo ya bonus kwa ajili ya kununua gari na nyumba kutegemea na kiwango chako cha utendaji.
Hayo malipo yalioanishwa hapo juu ni malipo unayoyapata kwa wanachama ndani ya mtandao wako ambao ni Sales Partner. Kuna malilpo mengine utakayoyapata kwa wanachama ambao wao wanachotaka ni kununua hizi software tu na kuzitumia. Hawahitaji kuwa Sales Partner au kupata shares za kampuni. Kundi hili ni la makampuni makubwa, serikalini, wizarani, wanasiasa wakongwe na wafanyabiashara wakubwa ambao kwenye mtandao wanajulikana kama Consumers. Mapato haya nayo utayapata miongo 7 kwenda chini ndani ya mtandao wako.
Nimeambatanisha Cyberwealth Compensation Plan kwa wale watakaopenda kujua mfumo huu wa malipo wa mtandao huu.
Malipo yanafanyika kupitia ofisi yako ndani ya mtandao. Unapata account ya e-wallet ambayo mapato yako na malipo yako yanaingizwa humo. Kuna njia nyingi za kuhamisha mapato yako kutoka kwenye e-wallet account yako kwenda kwako. Utaweza kuhamisha kwa kuzituma pesa zako kwenda kwenye akaunti yako ya benki au kupitia Western Union au Moneygram au company check au kwenye prepaid card yako.
Soko lako kwenye biashara hii ni dunia nzima. Halina kikomo kwani mtu alipo popote pale duniani ukimuelezea hii fursa na akajiunga kupitia kwako basi anakuwa chini ya mtandao wako wa kupata commission.
Juu ya kipato cha mtandao kwa miongo 7 kwenda chini, utapata vilevile hisa 10 utakapojiunga na hisa 10 zingine kwa kila mtu utakayemualika kupitia kiungo chako utakachokipata mara baada ya kujiunga. Hisa milioni 7 zimetengwa kwa ajili ya campaign hii dunia nzima na zitaendelea kugawiwa kwa njia hii mpaka ziishe. Hisa utakazozipata zitakuwezesha kupata gawio la faida ya kampuni (profit sharing dividend) kila baada ya miezi mitatu kuanzia mwezi Machi 2015. Hii ni fursa adimu ya kuwa mmiliki wa kampuni kubwa ya kidunia yenye bidhaa bora ambayo huwezi kuipata kwenye fursa zingine za biashara ya mtandao. Wahi fursa hii ya kuwa mmiliki kabla haijatokomea ili upate fursa zote mbili.
Kwa maelezo zaidi, tutembelee ofisi yetu inayoitwa Biznocrats Consulting Enterprise iliyopo Makumbusho Bus Terminal & Shopping Complex, Block A, First Floor (Juu ya Uchumi Supermarket) kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Kwa mawasiliano piga namba hii 0658977330
Kwa wale ambao hawako Dar es Salaam, mnaweza kujiunga na fursa hii moja kwa moja huko mlipo halafu tutawasiliana punde baada ya kujiunga ili kuwapa maelezo ya ziada na kujibu maswali yenu mtakayokuwa nayo.
Ili kukamilisha zoezi la kujiunga basi zingatia maelezo yafuatayo:
Bonyeza kiungo hiki hapa goo.gl/Iyy9aD
Video itafunguka inayoelezea kuhusu fursa hii na utaisikiliza mpaka mwisho kisha utashuka chini (scroll down) na kujaza fomu kwa kuweka jina lako la kwanza, jina lako la mwisho, barua pepe yako na utachagua lugha (language) English halafu utabonyeza Continue.
Video ya pili itafunguka inayoelezea kwa undani bidhaa za kampuni na umuhimu wa kuzitumia. Utaisikiliza mpaka mwisho halafu utashuka chini na kubonyeza CLAIM SHARES. Utakuwa umepata hisa 10 na utatakiwa kwenda kwenye barua pepe yako uliyotumia kujiungia na huko utakuta email kutoka kampuni (Cyberwealth). Utaifungua na kuisoma na chini utaona kiungo cha Confirm Stock. Utakibonyeza na ukurasa mwingine utafunguka ambapo utasikiliza video itakayofunguka na kisha kushuka chini ili kujaza fomu ya kurejista hisa zako katika daftari la wamiliki la kampuni. Utajaza namba yako ya simu, mahali unapoishi (Adress), mkoa unaoishi, utaacha kujaza kwenye State kwani hiyo ni kwa Wamarekani, postal address kwa Tanzania ni 255, utachagua nchi Tanzania, utajaza username yako utakayoitumia kwenye tovuti za mtandao, utajaza password yako halafu utai confirm, utabonyeza kiboksi cha kukubali masharti (Terms and Condititions) halafu utashuka chini na kubonyeza Register Now.
Baada ya hapo utakuwa umemaliza mchakato wa kujisajili na pop up window itatokea na kukufahamisha kwamba umemaliza kujiunga (You have successfully regitered. Thank You) au kama kuna tatizo kwenye usajili wako itakufahamisha. Utabonyeza OK kisha tovuti ya mtandao itafunguka inayokutaka u login. Uta login na utakuwa kwenye ofisi yako ya biashara hii ya mtandao. Utabonyeza kwenye Marketing System ili uende kwenye ofisi ya hisa ambapo utalogin tena kwa kutumia username na password yako uliyotumia kujiungia. Kwa sababu utakuwa una login kwa mara ya kwanza, utakubali masharti kwa kubonyeza kiboksi na kisha kubonyeza Accept chini.
Ndani ya hiyo offisi, utakuta link yako ya kualikia watu inayokutambua wewe kama mualikaji kwenye kiungo cha My Campaign Link. Link mwisho imeishia na namba 8. Utai copy na utai save kwenye word document au pad ili uwe unaichukua wakati wowote ule unapotaka kumualika mtu.
Utaweza kuona vilevile hisa zako katika kiungo cha My Stock Shares ampapo utakuta hisa 10 ulizopata baada ya kujiunga na zile utakazopata kwa kuwaalika watu katika mtandao huu.