Biashara ya ku-deliver bidhaa Kibaha

Biashara ya ku-deliver bidhaa Kibaha

lusajo1990

Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
20
Reaction score
18
Nafikiria kuanzisha local delivery company ya bidhaa za nyumbani, kwa kutumia baiskel za umeme especially eneo la Kibaha. Nakaribisha mwenye mawazo kama haya awekeze knowledge na muda namna gani inaweza kufanyika kwa ufanisi.
 
Back
Top Bottom