Biashara ya kuanzia mtaji milion 200

Kama unapenda ufugaji nikuunganishe Tanga ufungue Ranchi unenepeshe mifugo. Maana hii ndo biashara ambayo hata mtu ambae hajaenda shule anaweza kufanya.
 
sheli mkuu? utafurahia maisha
 
Hahahahahahaha nenda mererani uadisiwe watu wamegusa hadi milioni 800 ila imebaki story tu
Ni mirerani siyo mererani. Huna utakaloniambia kuhusu wanaaopolo na utafutaji wa mawe enzi zile tanzanite haina mwenyewe.
 
Sasa hiv wako kwenye ruby na garnet ....nashangaaa very overated ila ndo inayo zungush pesa
 
Mkuu wekeza kwenye viwanda vidogodogo vya food processing ,mkuu utapiga hela sana ,Mimi nimefanya Sells na Marketing kwa miaka mitano aisee watu wanapiga hela sana sana ,Mtaji wako utakua na hutojutia

Mkuu nina interest sana na hilo eneo lakini naona kama soko gumu, hebu dadavua kidogo hizo ideas kama hutojali, tujiongeze. Ni haya mambo ya kupack korosho, kusaga unga etc? Hebu fafanua
 
mmh
 
Mimi nina mgahawa nimeufungua kwa mtaji hata milioni haifiki...kwa siku naingiza faida kuanzia elfu kumi na tano mpaka ishirini.. Hiyo laki tano kwa mwezi naipata.. bora ununue hata hiace hesabu kwa siku elfu arobaini, kwa mwezi milioni moja na laki mbili,,,ukitoa kukamatwa na traffic na service hukosi laki nane kwa mwezi!
 
we si ndio ulipoteza dola elfu kumi kwenye forex? unamdanganya mwenzako apoteze pesa zake?
 
Mkuu wekeza kwenye viwanda vidogodogo vya food processing ,mkuu utapiga hela sana ,Mimi nimefanya Sells na Marketing kwa miaka mitano aisee watu wanapiga hela sana sana ,Mtaji wako utakua na hutojutia
Mkuu nipm
 
Hii ni nzuri, hata Mimi nimefanya hivyo mwasonga ni kibinti tuu naona nikifikisha miaka 35 ya kuzaliwa nitaukaribisha vizuri sana uzee wangu. Nimefanya Hivi nilikata viwanja, nikatoa vya familia yangu viwanja 15 vyenye ukubwa mbali mbali kidogo kina sqm 750. Vilivyobaki viwanja 119 nikaviingiza sokono. Namshukuru Mungu
 
Eeh mkuu utazeeka vyema sana
 
Mkuu unaweza kutupa ABC za ufanyaji wa hii biashara.
Kuanzia namna ya kupata vibali na kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…