Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 837
- 495
Million 1Unamtaji wa shilingi ngapi?
Nipite kila nyumba nauliza?Nunua line T.pesa na M.pesa fanya mobile service! Mfuate mtu popote alipo....Hii wengi hawajagundua!
Utajua mwenyewe njia utakayotumia,ila huo ndio ushauri wangu.Nipite kila nyumba nauliza?
Huo ndio ushauri wako?Anakudanganya huyo,biashara ya Pesa haitakiwi kuzunguka,risk yake ni kubwa,umfuate mtu kwake utsache Pesa na simu yako!