Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani Mimi ninataka kuanza mradi wa kujenga na kuuza nyumba(ambazo zinakuwa zimefika hatua ya lenter).nipo Dodoma hivyo mradi huu natarajia kuufanya hapa Dodoma.naomba elimu,ushauri,uzoefu n.k.utakao nisaidia kupata elimu nini cha kufanya ili kuanza.
asanteni[/QUOTE
Lizyisack nashino hauzingi,,,
Jambo zuri sana...mimi nipo kwenye hiyo fani.Mimi ninataka kuanza mradi wa kujenga na kuuza nyumba (ambazo zinakuwa zimefika hatua ya lenter) nipo Dodoma hivyo mradi huu natarajia kuufanya hapa Dodoma.
Naomba elimu, ushauri, uzoefu n.k utakaonisaidia kupata elimu nini cha kufanya ili kuanza.
Asanteni
Jaribu inalipa japo ni moja kati ya biashara ambazo ni moon like. Speed yake sio ya kuridhisha japo kuna wakati ukilifumania soko inalipa kidogo. Nimewahi kujenga boma kwenye kiwanja kilichosajiriwa, nilitumia kama shs 7,000,000/= hivi. Nikapata bahati ya kulifumania soko na kuiuz kama Tsh 15,000,000/=.Mimi ninataka kuanza mradi wa kujenga na kuuza nyumba (ambazo zinakuwa zimefika hatua ya lenter) nipo Dodoma hivyo mradi huu natarajia kuufanya hapa Dodoma.
Naomba elimu, ushauri, uzoefu n.k utakaonisaidia kupata elimu nini cha kufanya ili kuanza.
Asanteni