Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Chanzo cha hio biashara ni sisi wanaume wenyewe siku wateja wakikosekana watoa huduma nao watafunga makampuni yao
Hapo Hujataja Chanzo! Chanzo ni lazima ufanye Root cause analysis? Jiulize kwanini mpaka upate SOurce?
Kwanini wanawake wanaiuza? Ukipata Jibu Hilo weka kwanini jibu hilo till the end
 
Your wrong ni bora kutafuta wataalamu wa theorogia wakusaidie
Mkuu Theologian nao wanatumia Vitabu hivi hivi ambavyo sisi tunasoma, fo which nao walivikuta wakaviamini na kubobea kisha kuanza kuaminisha wengine.
Sio vyema sana kutumia Neno you are wrong especially kwenye mambo ambayo huna proof " mambo unayoamini peke yake usimpinge mwingine.
 
Upo sahihi wanaojiuza wengi ni single mothers na mambo ya marejesho ya VICOBA kwa experience yangu na malaya wa Arusha
 
Hiyo kamba mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thubutu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…