Barraza JF-Expert Member Joined Oct 10, 2011 Posts 481 Reaction score 270 May 19, 2016 #1 Wadau kwa wenye uzoefu wa hii biashara ya kukodisha magari hususani Noah naombeni mnipe uzoefu. Je, ni kwa namna ipi naweza kutengeneza customer base. Pia ningependa kujua profit margin yake ikoje. Na itachukua muda gani kuweza kurudisha mtaji. Pia changamoto zilizopo kwenye hii biashara. Na mengineyo ambayo yatanisaidia kufanya maamuzi sahihi. Natanguliza shukrani.
Wadau kwa wenye uzoefu wa hii biashara ya kukodisha magari hususani Noah naombeni mnipe uzoefu. Je, ni kwa namna ipi naweza kutengeneza customer base. Pia ningependa kujua profit margin yake ikoje. Na itachukua muda gani kuweza kurudisha mtaji. Pia changamoto zilizopo kwenye hii biashara. Na mengineyo ambayo yatanisaidia kufanya maamuzi sahihi. Natanguliza shukrani.
Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 May 20, 2016 #2 Ngoja waje kina GENTAMYCINE
M Montserrat JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 10,938 Reaction score 14,745 May 20, 2016 #3 Biashara kichaa Kama unaweza achana nayo, think of any other business lakini ufanye research from the group of people who're in that line of business.
Biashara kichaa Kama unaweza achana nayo, think of any other business lakini ufanye research from the group of people who're in that line of business.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 May 20, 2016 #4 Jane Lowassa said: Ngoja waje kina GENTAMYCINE Click to expand... " Kipira " kinakuwasha au?
Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 May 20, 2016 #5 GENTAMYCINE said: " Kipira " kinakuwasha au? Click to expand... We mtoto wa mama
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,568 Reaction score 9,710 May 24, 2016 #6 GENTAMYCINE said: " Kipira " kinakuwasha au? Click to expand... Sidhani kama ni jibu la kiuungwana
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 May 25, 2016 #7 Zanzibar Spices said: Sidhani kama ni jibu la kiuungwana Click to expand... Naona umeamua kudandia treni kwa mbele. Tusilaumiane tafadhali!
Zanzibar Spices said: Sidhani kama ni jibu la kiuungwana Click to expand... Naona umeamua kudandia treni kwa mbele. Tusilaumiane tafadhali!
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,170 May 28, 2016 #8 GENTAMYCINE said: " Kipira " kinakuwasha au? Click to expand... jane lowasa ameonesha kukumis ila wewe unamjibu hovyo!
GENTAMYCINE said: " Kipira " kinakuwasha au? Click to expand... jane lowasa ameonesha kukumis ila wewe unamjibu hovyo!