Mkuu tatizo hizi Projecta nazo ni kama ilivyo kuwa kwa Komputa enzi hizo, kwa sasa unakuta Ofisi nyingi sana zina Projecta zao wenyewe, ni wachache sana wanao tegemea za kukodi,
Mkuu tatizo hizi Projecta nazo ni kama ilivyo kuwa kwa Komputa enzi hizo, kwa sasa unakuta Ofisi nyingi sana zina Projecta zao wenyewe, ni wachache sana wanao tegemea za kukodi,