Biashara ya kukodisha ukumbi kwa shughuli mbalimbali

Biashara ya kukodisha ukumbi kwa shughuli mbalimbali

mrengo wa kushoto

Senior Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
100
Reaction score
185
Ndugu wadau nimeleta uzi huu ili mimi na wale wote wanao ifahamu vizuri hii fursa. Maana kila kukicha kuna sherehe kuanzia birthday mpaka harusi na mikutano.Nina maswali kadhaa;

1. Ukubwa(sq metres) za ukumbi unao beba watu 100.
2. Parking itakayo takiwa kuachwa kwa angalau ukumbi au garden itakayo beba watu angalau 100
3. Eneo gani linaweza kuwa zuri kuanzisha biashara hii,kati ya mjini au makazi ya watu: nimeuliza hili kwasababu mjini ningumu kupata eneo kubwa na lenye parking kubwa kulinganisha na maeneo ya makazi pembeni kidogo ya mji.
4. Je kati ya ukumbi wa open garden na hall upi unademand kubwa zaidi??

Note: Maswali haya ni kutoka kwa mtu mwenye ndoto ya kuwa na hii biashara ambae bado hajawa bilionea😃
 
1. Ukumbi unaobeba watu 100 tu. Utatangwa maji kwenye kinu. Hesabu ni 250-300 chini.
2. Parking huhitaki ya gari mia. Gari hata 20 au 15 zikipaki. Wengine watategemea maeneo wazi ya jirani.
3. Tafuta sehemu nzuri hata pemebezoni mwa mji pawe panafikika.
4. Hall Area ndio ina demand. Open ni too fashionable which watu wengi wa idadi ya 100 -300 hawapendelei.

Karibu kwenye biashara.
Ukumbi wako ukirange idadi hiyo utafanya full booking mwaka mzima.
 
1. Ukumbi unaobeba watu 100 tu. Utatangwa maji kwenye kinu. Hesabu ni 250-300 chini.
2. Parking huhitaki ya gari mia. Gari hata 20 au 15 zikipaki. Wengine watategemea maeneo wazi ya jirani.
3. Tafuta sehemu nzuri hata pemebezoni mwa mji pawe panafikika.
4. Hall Area ndio ina demand. Open ni too fashionable which watu wengi wa idadi ya 100 -300 hawapendelei.

Karibu kwenye biashara.
Ukumbi wako ukirange idadi hiyo utafanya full booking mwaka mzima.
Nashukuru sana mkuu..
Kwa upande wa vipimo ukumbi wakuweza kube a watu 300 ni jengo linalo cover square metre ngapi kwa kukisia??
Au angalau nahitaji kiwanja cha ukubwa gani pamoja na eneo la magari angalau 20 hayo??
 
Back
Top Bottom