batamzinga
Member
- Oct 23, 2012
- 35
- 26
samahani hapo kwenye mkaa hapo..Kifaranga kimoja ni shs 1,200 kwa hiyo vifaranga 500 ni shs 600,000=
kuku 100 wanakula mifuko 6 ndipo uwauze,mfuko mmoja wa kg 50 ni shs 40,000=
kwa hiyo kuku 500 watakula mifuko 30 sawa na shs 1,200,000=
chanjo ya gumbolo na newcastle zote mbili zitakugarumu kama 10,000=
kwa ujumla kuna garama ndogo ndogo kama mkaa,vitamins,usafiri,umeme
KUKU 500 UPATE FAIDA ISIYOPUNGUA 500,000=
Mkaa ni kwa ajili ya joto nadhanisamahani hapo kwenye mkaa hapo..
Hiyo formula ulipewa na nani? Na vipi sasa hivi ushafanikisha kuipata?Ndugu zangu naombeni ushauri..nilifuga broilers wakadumaa...yaani wana wiki 7 hawana hata kilo..starter nilinunua ya IGO lakini finisher nilitengeneza kufuatana na formula niliyopewa..Je kuna mtu anaformula nzuri ya finisher?