Mchanganuo wa gharama upoje? Kuna mtu aliwahi nishirikisha hii
pata elimu kwanza juu ya lishe,magonjwa,matunzo,uandaji wa nyama la uhifadhi wake maswala ya inbreeding nk
elimu huambatana na malipo ndugumpe elimu
Huyu mbuzi au kondoo ?
Yupo dar kwa bahati mbaya sikuwa namzingatia niliona kama anaongea tu ila nimeanza kuona ufugaji wa mbuzi nao ni fursa.yuko wap mkuu ebu tupe ufafanuzi wa unachokijua
Huyu mbuzi au kondoo ?