Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
ya ni kweli, biashara yoyote ili iende kwa ufanisi mhusika lazima uwe karibuNi fursa nzuri ila inahitaji usimamizi wa karibu sana!
***Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
***
wapi wanapatikana kwa laki 2,3?[/Q
nenda shinyaga au simiyu kipindi mifugo bei iko chini sana
Acha tu nimeshtuka sana. Hivi huyu jamaa hela anaijua lakini ?? [emoji23][emoji23]***
wapi wanapatikana kwa laki 2,3?
Msimu wa kuanza kilimo au ukame mkoa wa shinyanga na jirani zakeAcha tu nimeshtuka sana. Hivi huyu jamaa hela anaijua lakini ?? [emoji23][emoji23]
Yeah ni kweli kabisa. Mtu Wangu wa karibu sana anafanya hii biashara mikoa hiyoMsimu wa kuanza kilimo au ukame mkoa wa shinyanga na jirani zake
mikoani tumekua herbivorous mkuu nyama haziuziki unaweza nenepesha ng'ombe ukaishia kuchinja pasaka kwa hasiraBandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
Na majani tunagombania hayo hayo binadamu na wanyama,watu tumekuwa vegetarians bila kupenda.mikoani tumekua herbivorous mkuu nyama haziuziki unaweza nenepesha ng'ombe ukaishia kuchinja pasaka kwa hasira
Soko liko wapi? na lina uhakika upi? Nataka nami niifanyeBandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
Ndugu,kama kuna ukame,naye mtoa post kasema unawachunga miezi miwili wananenepa! Loh! hii ikoje? Au majani yataota kwa vile unataka faida? Nahisi kuna mahali hujaeleza vizuri kuhusu kitu kinaitwa "Vyakula vya Ziada" hasa kipindi cha kiangazi.Msimu wa kuanza kilimo au ukame mkoa wa shinyanga na jirani zake
wanunuzi ni wale wanaosafirisha ng'ombe kupeleka Dar,ukiwa na ng'ombe wenye afya nzuri ni rahisi sana kuuzaSoko liko wapi? na lina uhakika upi? Nataka nami niifanye
hii biasahara inafanyika tena sana, sema kama hujwahi sikia au kuona lazima utaona maajabu.Acha tu nimeshtuka sana. Hivi huyu jamaa hela anaijua lakini ?? [emoji23][emoji23]
Asante. Wanakadiriaje bei ya ngombe,kwa kilo au kwa macho? Na utajuaje kuwa huyu akinenepa utauza kwa laki 5 ikiwa umemnunua laki 2 au 3?wanunuzi ni wale wanaosafirisha ng'ombe kupeleka Dar,ukiwa na ng'ombe wenye afya nzuri ni rahisi sana kuuza
Wanamshika mkia tu anavyotingishika wenyewe washajua uzito na bei yakeAsante. Wanakadiriaje bei ya ngombe,kwa kilo au kwa macho? Na utajuaje kuwa huyu akinenepa utauza kwa laki 5 ikiwa umemnunua laki 2 au 3?
Mhh,asante.Wanamshika mkia tu anavyotingishika wenyewe washajua uzito na bei yake