Biashara ya kunenepesha ng'ombe kuuza

Hii biashara ni nzuri ila ningependa kujua gharama za kumnenepesha huyo ng'ombe kwa miezi hiyo ni kiasi gani?
 
1.Alizeti na mtama (Dodoma)
2.Vipo vya kukamua alizeti tuu
3.Lipo duka moja tuu
Karibu mkuu....
 
1.Alizeti na mtama (Dodoma)
2.Vipo vya kukamua alizeti tuu
3.Lipo duka moja tuu
Karibu mkuu....
 
Mtama mara nyingi yanakuwa makubaliano na muuzaji,wanapima kwenye kopo(chibuku) hasa kwenye minada na bei ni kati ya sh. 200-1000 inategemeana na msimu wenyewe. kwa mfano sasa hivi tunaingia kwenye bei rahisi.
Mashudu hayana bei kamili kutokana na huku wanunuzi ni wachache,hivyo ni makubaliano kati ya mnunuzi na muuzaji na hata saa zingine hayapomwi. naweza kusema ni bei rahisi
 
Mkuu nilijua kuna namna ya kuwanenepesha kumbe ni majani tu, kama ni majani hapo ni bahati nasibu either anenepe au akonde.
Kama kuna njia artificial or natural za kunenepesha share nasi.
 
Me nadhani ni vyema mkuu ukaleta hivyo vipimo na namna ya uchanganyaji wa hivyo vyakula kwa sababu Tanzania yetu kwa kawaida haina bei sahihi haswa katika mazao so tukisema tuanze mahesabu nitakuwa najidanganya kwa maana kijiji hiki naweza pata kwa bei fulani na kile bei ikawa tofauti.
Pia tukitoa gharama za hivyo vyakula kuna mambo ya usafiri na mengine mengi yatahusika hapo.
Mwisho wa siku kulingana na mazingira nilipo nitaweza kufanya upembuzi ili kujua kama itanilipa ama la. Lete mchanganuo mkuu.
 

= malisho
 
Unafanyia wapi
 
Sijakupata naomba ufafanuzi
 
Mku hii imekaa vizuri Sana. Ni Mkoa gani nawezafanya hii kazi
 
 
mikoani tumekua herbivorous mkuu nyama haziuziki unaweza nenepesha ng'ombe ukaishia kuchinja pasaka kwa hasira
Mkuu umenichekesha sana et "ukaishia kuchinja pasaka kwa hasira"
 
vp mkuu project yaendeleaje ikiwa mafanikio na changamoo ya hii project nahitaji jifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…