Bukondamoyo
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 458
- 490
Kwa sasa nipo Songea Ruvuma ,mtaji mkubwa kuanzia kiasi gani ndugu?Wandugu poleni na mihangaiko ya kila siku hususani katika kipindi hiki cha janga la Corona.
Moja kwa moja nije kwenye mada, mwaka jana nilijikita sana kwenye biashara ya zao la mpunga yaani nilikuwa nalima na kununua ila biashara inakua ngumu kidogo kulingana na bei inayokuwa sokoni kwa muda huo.
Mwaka huu nategemea kufanya biashara ya mahindi yani ninunue na kuyahifadhi kwenye magodauni ya watu na nije niyauze miezi ya masika pale bei zitakapopanda .
Hili ni wazo nililolipata kutoka kwa marafiki walionishauri niachane na kununua zao la mpunga nijikite kwenye mahindi kwani yanalipa sana kama utaweza yaweka mpaka pale bei zitakaposimama.
Sasa ningependa nisaidiwe ushauri hapa jukwaani kwa sababu najua hapa kuna wajuzi wa mambo kama haya.
Je, ni kweli hii biashara ya kuweka mahindi na ukayauza kipindi cha masika inaweza kulipa kweli a je, changamoto zake zikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hi biashara inaniogopesha,hivi ukistock mahindi hayabanguliwi kweli,,ile dawa wanayoweka inakuaga effective 100%?Biashara ya mahindi ndy nayofanya.
Karibu
mkuu biashara ya mazao ina lipa kutokana na, the more you add value, the more you create the margin, mfano: Ukinunua mahindi then ww ukasaga na kuupaki na kuuza kama unga bei ni tofauti na aliyeuza mahindiWandugu poleni na mihangaiko ya kila siku hususani katika kipindi hiki cha janga la Corona.
Moja kwa moja nije kwenye mada, mwaka jana nilijikita sana kwenye biashara ya zao la mpunga yaani nilikuwa nalima na kununua ila biashara inakua ngumu kidogo kulingana na bei inayokuwa sokoni kwa muda huo.
Mwaka huu nategemea kufanya biashara ya mahindi yani ninunue na kuyahifadhi kwenye magodauni ya watu na nije niyauze miezi ya masika pale bei zitakapopanda .
Hili ni wazo nililolipata kutoka kwa marafiki walionishauri niachane na kununua zao la mpunga nijikite kwenye mahindi kwani yanalipa sana kama utaweza yaweka mpaka pale bei zitakaposimama.
Sasa ningependa nisaidiwe ushauri hapa jukwaani kwa sababu najua hapa kuna wajuzi wa mambo kama haya.
Je, ni kweli hii biashara ya kuweka mahindi na ukayauza kipindi cha masika inaweza kulipa kweli a je, changamoto zake zikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo dawa moja ya kenya nimesahau jina lake, ila ni 180000 hiyo ndy effective, mdudu hapiti..unakuta mahind yako njema..Mimi hi biashara inaniogopesha,hivi ukistock mahindi hayabanguliwi kweli,,ile dawa wanayoweka inakuaga effective 100%?
Bwana biashara ya kuhifadhi mahindi ni pasua kichwa!!! Kutokana na ugumu wa ku ya hifadhi, na hilo ni kutokana na dawa nyingi kuwa fake!!! Unaweza kuja kukuta sio mahindi tena bali ni unga, asilimia kubwa serikali ndio huwa wanaweza kwani wao gharama ya kupulizia dawa sio inshu kwao na kupata dawa halisi.Mimi hi biashara inaniogopesha,hivi ukistock mahindi hayabanguliwi kweli,,ile dawa wanayoweka inakuaga effective 100%?
Hapa kwenye dawa sio ishu maana wataalamu wapo watatuambia ,ila nasikia wanatumia vidonge vinavyowekwa kati ya gunia na guniaBwana biashara ya kuhifadhi mahindi ni pasua kichwa!!! Kutokana na ugumu wa ku ya hifadhi, na hilo ni kutokana na dawa nyingi kuwa fake!!! Unaweza kuja kukuta sio mahindi tena bali ni unga, asilimia kubwa serikali ndio huwa wanaweza kwani wao gharama ya kupulizia dawa sio inshu kwao na kupata dawa halisi.
Sawa, ila utunzaji wa mahindi gharani huwa ni shughuri ngumu sana, tena kwenye maghara haya ya watu binafsi ambao usafi kwao ni tabu, na kuna kuwa na mchanganyiki wa mazao, tofauti tofauti!!!Hapa kwenye dawa sio ishu maana wataalamu wapo watatuambia ,ila nasikia wanatumia vidonge vinavyowekwa kati ya gunia na gunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo dawa moja ya kenya nimesahau jina lake, ila ni 180000 hiyo ndy effective, mdudu hapiti..unakuta mahind yako njema..
Saiv kinachosumbua ni kigezo cha moisture
Atumie njia ipi mbadala sasa mkuu.Sawa, ila utunzaji wa mahindi gharani huwa ni shughuri ngumu sana, tena kwenye maghara haya ya watu binafsi ambao usafi kwao ni tabu, na kuna kuwa na mchanganyiki wa mazao, tofauti tofauti!!!
Mkuu unapanga kuwa na stock ya kuanzia gunia ngapi?Wandugu poleni na mihangaiko ya kila siku hususani katika kipindi hiki cha janga la Corona.
Moja kwa moja nije kwenye mada, mwaka jana nilijikita sana kwenye biashara ya zao la mpunga yaani nilikuwa nalima na kununua ila biashara inakua ngumu kidogo kulingana na bei inayokuwa sokoni kwa muda huo.
Mwaka huu nategemea kufanya biashara ya mahindi yani ninunue na kuyahifadhi kwenye magodauni ya watu na nije niyauze miezi ya masika pale bei zitakapopanda .
Hili ni wazo nililolipata kutoka kwa marafiki walionishauri niachane na kununua zao la mpunga nijikite kwenye mahindi kwani yanalipa sana kama utaweza yaweka mpaka pale bei zitakaposimama.
Sasa ningependa nisaidiwe ushauri hapa jukwaani kwa sababu najua hapa kuna wajuzi wa mambo kama haya.
Je, ni kweli hii biashara ya kuweka mahindi na ukayauza kipindi cha masika inaweza kulipa kweli a je, changamoto zake zikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app