Biashara ya kuonesha mpira mtaji bei gani?

Biashara ya kuonesha mpira mtaji bei gani?

TV inch 40 ndogo sana. Tafuta 55 kwenda juu. Tafuta brand affordable mfano TCL, Hisense etc.Uusinunue refab.

TV Mil 1.2 Kingamuzi Azam na DSTV jumla 500k banda kulipiga mambao mbao na mabenchi weka 300-500 itategemea. Kwahiyo approximately 2.5 ingawa unaweza enda less.

Projector achana nayo. Ngumu sana kupata mazingira mazuri ya kuonesha projector. Hizo waachie Cinemax.
 
TV inch 40 ndogo sana. Tafuta 55 kwenda juu. Tafuta brand affordable mfano TCL, Hisense etc.Uusinunue refab.

TV Mil 1.2 Kingamuzi Azam na DSTV jumla 500k banda kulipiga mambao mbao na mabenchi weka 300-500 itategemea. Kwahiyo approximately 2.5 ingawa unaweza enda less.

Projector achana nayo. Ngumu sana kupata mazingira mazuri ya kuonesha projector. Hizo waachie Cinemax.
Hisense 55' si inakaribia 880k ama nimekosea?
 
Ninachowaza utumie zaidi ya Mil 2.5 hafu uweke kiingilio cha 500 tsh. Ina maana:
Kwa siku ukipata watu 20 ni elfu 10.
Kwa mwaka wenye simu 365 unapata tsh 3,500,000 hivi.

Kumbuka mpira sio kila siku, na kupata watu 20 nayo ni challenge.

Hii biashara kama bodaboda tu. Unainvest hela nyingi kwa rejesho la 10k kwa siku.
 
Ninachowaza utumie zaidi ya Mil 2.5 hafu uweke kiingilio cha 500 tsh. Ina maana:
Kwa siku ukipata watu 20 ni elfu 10.
Kwa mwaka wenye simu 365 unapata tsh 3,500,000 hivi.

Kumbuka mpira sio kila siku, na kupata watu 20 nayo ni challenge.

Hii biashara kama bodaboda tu. Unainvest hela nyingi kwa rejesho la 10k kwa siku.
Shukrani mkuu
 
Ninachowaza utumie zaidi ya Mil 2.5 hafu uweke kiingilio cha 500 tsh. Ina maana:
Kwa siku ukipata watu 20 ni elfu 10.
Kwa mwaka wenye simu 365 unapata tsh 3,500,000 hivi.

Kumbuka mpira sio kila siku, na kupata watu 20 nayo ni challenge.

Hii biashara kama bodaboda tu. Unainvest hela nyingi kwa rejesho la 10k kwa siku.
Kwa watu 20 ni idadi ya banda dogo ama?

Na vipi gharama za kukodi eneo au umepiga hesabu eneo ni la kwako?
 
Kwa watu 20 ni idadi ya banda dogo ama?

Na vipi gharama za kukodi eneo au umepiga hesabu eneo ni la kwako?
Hapo umenena mkuu, kuna gharama za ajabu mfano kukodi banda na umeme, na gharama za vifurushi kwa mwezi etc.

Nimempigia hesabu 20 kwa siku kwasababu mara nyingi mpira kwa week ni weekend (siku 3), ila siku 4 nyingine unakuta hamna mechi. Kwahiyo nimeweka average ni watu 20 kwa siku. Ata kama kwa siku atapata 50 weekend jumla 150 hafu siku 4 kukawa hakuna mtu inamaana zilizobakia ni 0. Kwa average ya 20 kwa siku ni watu 140 kwa week. Ni vile vile tu.

Sema unaweza ndani ukawa unauza na soft drinks, kahawa, maji na sigara (kama imani inaruhusu).

Pia anaweza akaamua akaweka humo humo na Play Station games ili zile siku ambazo hamna mpira awe anachezesha games.

Sema itategemea na banda alivoliset.
 
Hapo umenena mkuu, kuna gharama za ajabu mfano kukodi banda na umeme, na gharama za vifurushi kwa mwezi etc.

Nimempigia hesabu 20 kwa siku kwasababu mara nyingi mpira kwa week ni weekend (siku 3), ila siku 4 nyingine unakuta hamna mechi. Kwahiyo nimeweka average ni watu 20 kwa siku. Ata kama kwa siku atapata 50 weekend jumla 150 hafu siku 4 kukawa hakuna mtu inamaana zilizobakia ni 0. Kwa average ya 20 kwa siku ni watu 140 kwa week. Ni vile vile tu.

Sema unaweza ndani ukawa unauza na soft drinks, kahawa, maji na sigara (kama imani inaruhusu).

Pia anaweza akaamua akaweka humo humo na Play Station games ili zile siku ambazo hamna mpira awe anachezesha games.

Sema itategemea na banda alivoliset.
Na hivi mkuu kuhusu location inatakiwa ilenge maeneo gani hasa
 
Usalama kwa maana ya wezi au
1. Wezi kukuibia vifaa vyako.
2. Kusiwe na mazingira tata maana mechi sometimes za usiku mfano EPL na UEFA unakuta chuma inaanza saa 4 usiku mtu anawaza anatoka saa 6 anakutana na vijana wa ovyo.
 
1. Wezi kukuibia vifaa vyako.
2. Kusiwe na mazingira tata maana mechi sometimes za usiku mfano EPL na UEFA unakuta chuma inaanza saa 4 usiku mtu anawaza anatoka saa 6 anakutana na vijana wa ovyo.
Hahaha sawa mkuu
 
Ninachowaza utumie zaidi ya Mil 2.5 hafu uweke kiingilio cha 500 tsh. Ina maana:
Kwa siku ukipata watu 20 ni elfu 10.
Kwa mwaka wenye simu 365 unapata tsh 3,500,000 hivi.

Kumbuka mpira sio kila siku, na kupata watu 20 nayo ni challenge.

Hii biashara kama bodaboda tu. Unainvest hela nyingi kwa rejesho la 10k kwa siku.
Kumbuka sio kila mechi utaonesha Kwa 500 ,zipo za kuonesha1000 na maranyingi big match huwa zinajaza.nishawai kupiga130k Kwa mechi moja ilikuwa man u vs psg uefa
 
Usalama kwa maana ya wezi au
1. Wezi kukuibia vifaa vyako.
2. Kusiwe na mazingira tata maana mechi sometimes za usiku mfano EPL na UEFA unakuta chuma inaanza saa 4 usiku mtu anawaza anatoka saa 6 anakutana na vijana wa ovyo.
 
Bajeti ni kutegemeana, kama huna hata banda, tv wala chochote tenga mpaka m5 kutegemea na aina ya banda na inaweza kuzidi hapo bila tabu.

Ila ni biashara ambayo unaweza piga pesa vizuri tu..
Nina rafiki anafanya hii biashara huu ni mwaka wa 10 sasa.

hakuna biashara inakosa changamoto, ila eneo likiwa fresh biashara inasonga vizuri tu..
Wikiend game za man u, arsenal.. Liverpool na Chelsea kwa uchache zitakupa pesa
Game za simba na yanga pesa ni uhakika.

Juzi game ya simba na al ahly kwa kiingilio cha 1000 kapiga laki 2 na chenji, maana yake banda linaaingiza watu kama 250+ hivi, humo kuna staff na watoto wadogo.
 
Ninachowaza utumie zaidi ya Mil 2.5 hafu uweke kiingilio cha 500 tsh. Ina maana:
Kwa siku ukipata watu 20 ni elfu 10.
Kwa mwaka wenye simu 365 unapata tsh 3,500,000 hivi.

Kumbuka mpira sio kila siku, na kupata watu 20 nayo ni challenge.

Hii biashara kama bodaboda tu. Unainvest hela nyingi kwa rejesho la 10k kwa siku.
Na asisahau DSTV bei za vifurushi vya visimbuzi zimechangamka + AZAM lazima ukaze buti

Mwisho wa siku utaanza kuonesha na movie za Acheche Production za Dj Mack🤣
 
Hapo umenena mkuu, kuna gharama za ajabu mfano kukodi banda na umeme, na gharama za vifurushi kwa mwezi etc.

Nimempigia hesabu 20 kwa siku kwasababu mara nyingi mpira kwa week ni weekend (siku 3), ila siku 4 nyingine unakuta hamna mechi. Kwahiyo nimeweka average ni watu 20 kwa siku. Ata kama kwa siku atapata 50 weekend jumla 150 hafu siku 4 kukawa hakuna mtu inamaana zilizobakia ni 0. Kwa average ya 20 kwa siku ni watu 140 kwa week. Ni vile vile tu.

Sema unaweza ndani ukawa unauza na soft drinks, kahawa, maji na sigara (kama imani inaruhusu).

Pia anaweza akaamua akaweka humo humo na Play Station games ili zile siku ambazo hamna mpira awe anachezesha games.

Sema itategemea na banda alivoliset.
Unajua wale waliokuwa na mabanda ya video miaka ile ya nyuma walifaidika kwa sababu siku ambazo hakuna mpira walikuwa wanaonyesha movies na vijana wengi wanakuja kuangalia ila siku hizi kila nyumba ina king'amuzi wanaangalia majumbani kwao.
Labda kama ni kijijini ambako umeme haujasambaa hapo sawa.
Ni biashara nzuri kwa sababu ya usalama mkubwa hakuna ajali kama ilivyo bodaboda ila kama una biashara zingine za kufanya siku ambazo hakuna mechi.
 
Back
Top Bottom