Biashara ya kupeleka mazao nje ya nchi

Joined
Aug 4, 2014
Posts
21
Reaction score
7
Wakuu mimi nataka kupeleka nafaka nje ya nchi, naomba anaye jua vibali vinapatikana wapi anisaidie kunielekeza. na pia sheria zinasemaje. naomba msaada wenu.
asante
 
Ni biashara nzuru sana hasa ukielekeza nchi za Sudan na Kenya, changamoto kubwa ni mazao mengi ya chakula kuwa related with politics, mfano mahindi na mpunga huwa nchi inapokuwa kwenye uhitaji hauruhusiwi kusafirisha nje! Kama utamua kujikita kwenye mahindi kupeleka Kenya na Sudan embu jitahidi kuprocess inorder to add value! Kuhusu organization ya kutoa kibali sijui cha muhimu jitahidi kusafisha njia kuepuka kupata vizuizi vya matrafki/polisi(umeelewa maana yake? ie kubali kuliwa ili ule) all the best!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…