Habari za asubuhi wadau,
nahitaji msaada wenu tafadhali, kwa yeyote anayeweza kunipa information juu ya hii biashara ya kuprint majina kwenye jerseys nitashukuru sana. nafikiria kuanzisha hii kitu huku mkoani, nina baadhi ya vifaa kama heat press nk. ningependa kujua vifaa gani vingine vitahitajika na wapi naweza kuvipata. pia zile herufi na namba (especially za ligi kuu ya uingereza) naweza kuzipata wap?
asanteni sana
ujifunze kutengeneza screen... hiyo ya heat press haidumu sana inafaa kwenye tshirt za shughuli kama misiba au kampeni...
Hizo HEAT PRESS zinapatikana kwa bei gani na wapi wakuu,nazihitaji kweli!
Mkuu hapo huko sahihi, inategemea quality ya heat press machine, aina ya transfer paper umetumia na temperature setting. Hata official merchandise kwenye maduka ya EPL wanatumia similar process. Na inadumu kwa muda mrefu tu.
Hizo HEAT PRESS zinapatikana kwa bei gani na wapi wakuu,nazihitaji kweli!
hata mm nahitaji hizo mashine zinazochapisha majina au herufi zinahitwaje na naweza kuzipata wapi wakuu nisaidieni?
ujifunze kutengeneza screen... hiyo ya heat press haidumu sana inafaa kwenye tshirt za shughuli kama misiba au kampeni...
Hizo HEAT PRESS zinapatikana kwa bei gani na wapi wakuu,nazihitaji kweli!
kaka mi nataka kujua unapatikana wapi na mawasiliano yako.ninaagiza heavy duty t shirt heat press from stahls.. moja ni milion moja laki moja..
na ninazo kwenye workshop yangu natumia.
used inategemea makubaliano
kaka mi nataka kujua unapatikana wapi na mawasiliano yako.
Mhhh,Mimi huwa nachapisha kwa ajili ya marafiki na ndugu tu. Natumia heat press na transfer letters na numbers nanunua kwa supplier uingereza. Kila number inanicost karibu shilingi 6000 na herufi kila moja kama shillings 1000 so nadhani hailipi kwa bingo yetu. Kwa sasa Nipo huku uingereza na ninarudi wiki ijayo kama uko serious na bei inakuwafiki ni PM nitakusaidia kukuletea.
Angalia mifano hapa mwenye hii link ya eBayhttp://m.ebay.co.uk/itm/170980282305
Nakupongeza sana kwa kutumia nafasi hiyo MkoaniHabari za asubuhi wadau,
nahitaji msaada wenu tafadhali, kwa yeyote anayeweza kunipa information juu ya hii biashara ya kuprint majina kwenye jerseys nitashukuru sana. nafikiria kuanzisha hii kitu huku mkoani, nina baadhi ya vifaa kama heat press nk. ningependa kujua vifaa gani vingine vitahitajika na wapi naweza kuvipata. pia zile herufi na namba (especially za ligi kuu ya uingereza) naweza kuzipata wap?
asanteni sana
Mimi huwa nachapisha kwa ajili ya marafiki na ndugu tu. Natumia heat press na transfer letters na numbers nanunua kwa supplier uingereza. Kila number inanicost karibu shilingi 6000 na herufi kila moja kama shillings 1000 so nadhani hailipi kwa bingo yetu. Kwa sasa Nipo huku uingereza na ninarudi wiki ijayo kama uko serious na bei inakuwafiki ni PM nitakusaidia kukuletea.
Angalia mifano hapa mwenye hii link ya eBayhttp://m.ebay.co.uk/itm/170980282305