muggyen
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 347
- 253
Habari zenu wana jf
Katika pita pita zangu hapa mjini kwa kipindi cha wiki mbili nmeona kampuni zaidi ya 6 zinazoshughulika na kuprocess maziwa kama vile;tanga fresh,mara milk,dar milk,profate nk
Kinachonshangaza wote hawa wanapeleka maziwa yao hadi kwenye supermarkets kibao na hata malls nashindwa kuelewa hivi market ya bidhaa zitokanazo na maziwa ina demand kubwa kiasi hiki kwa maana kila mmoja kati ya hawa tengeneza yoghurt,cheese,ghee,nk
Katika pita pita zangu hapa mjini kwa kipindi cha wiki mbili nmeona kampuni zaidi ya 6 zinazoshughulika na kuprocess maziwa kama vile;tanga fresh,mara milk,dar milk,profate nk
Kinachonshangaza wote hawa wanapeleka maziwa yao hadi kwenye supermarkets kibao na hata malls nashindwa kuelewa hivi market ya bidhaa zitokanazo na maziwa ina demand kubwa kiasi hiki kwa maana kila mmoja kati ya hawa tengeneza yoghurt,cheese,ghee,nk