Biashara ya kuranda na kuchana mbao

chodoo

Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
86
Reaction score
33
Wana jamii naomba ushauri kuhusu biashara ya mashine ya kuranda na kuchana mbao, kwa anayeijua vizuri anishauri nataka kuianzisha, na km unajua sehemu ninapoweza kupata mashine za kuchana na kuranda ziwe heavy duty naomba anifahamishe niweze kununua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…