aaah mkuu usifanye hiyo biashara bana'majini na uchawi ndio nguzo yao kuu'kuna biashara kibao mwaya'jitahidi sana kujiepusha na biashara za strees
ni biashara nzuri sana zaidi ukiweza kusimamia vzuri tangu awali ujue mapato na matumizi yake kwa miezi kadhaa kuhusu aina ya gari ningekushauri YUTONG ni nzuri sana na kwavile zina garantiini alafu ni mpya bei ni nafuu sana ukilinganisha na scania alafu ulaji mafuta ni nzuri sana kulinganisha scania na nissan d kiujumla ni biashara nzuri ukiwa na malengo na usikae na gari mpaka izeeke miaka 2-3 unauza
Mkuu, kuna jamaa yangu anazo hzo kama kumi hv, recently zimekuwa zikimtia kichaa; kila mara inabidi aweke standby gari ya ziada maana imekuwa kawaida kufa safarini, na linapokufa mpaka afike mchina kulitengeneza!