saidi yakoub
Member
- Nov 1, 2015
- 21
- 22
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nauliza kama una basi moja la yutong linaenda safari za dar to songea faida yake kwa siku ni shilingi ngapi ukitoa pesa ya mafuta na matumizi mengine na zipi changamoto zake