Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nauliza kama una basi moja la yutong linaenda safari za dar to songea faida yake kwa siku ni shilingi ngapi ukitoa pesa ya mafuta na matumizi mengine na zipi changamoto zake
kwanza ujue kutoka dar mpka songea kuna umbali gani halafu upige hesabu ya mafuta kwenda na kurudi na ujue je hill basi litajaa abiria na viwango vya nauli ni kiasi gani