biashara ya kusafirisha mabanzi kutoka iringa kwenda dar au dodoma!

biashara ya kusafirisha mabanzi kutoka iringa kwenda dar au dodoma!

sodmg

Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
37
Reaction score
9
wadau katika harakati za kuchunguza biashara ya kuanzisha na haka kamtaji kangu kadogo,nimekutana na wazo la kusafirisha mabanzi kutoka mafinga iringa kupeleka dar au dodoma,nimechagua mikoa hii kwasababu ni mwenyeji,na napenda niwenauza kwa jumla!yoyote mwenye uzoefu na hii biashara anakaribishwa kutupa mazuri,mabaya na changamoto za hii biashara,kwa kuanza ningependa wachangiaji watutajie bei ya rejareja ya mabanzi katika mikoa yao,na mikoa gani hii kitu inasoko sana na bei zake!maswal yanaruhusiwa.
 
naomba kujua bei ya banzi moja kwa hapo iringa.
 
Back
Top Bottom