Biashara ya kusafirisha matunda Ulaya

Personally nimeanza na shamba la miembe eka kumi lazima nije export
NI miembe ya kisasa toka SUA pale.
\Piga ua galagaza lazima einde pande za mbali
Mzee hebu lete mrejesho wa mafanikio yetu
 
Personally nimeanza na shamba la miembe eka kumi lazima nije export
NI miembe ya kisasa toka SUA pale.
\Piga ua galagaza lazima einde pande za mbali
Unamwagia dawa hiyo miche?
 
Yaani Uganda wanunue ndizi bukoba? Hebu acha masihara basi.
 
Tupe ushauri mkuu
 
Utawala mbovu wa CCM unaamini katika uchawi wa mwenge. Kazi ya mwenge ni kupumbaza wananchi wasione fursa na wala wasifikirie nje ya boksi
 
Hutaki au??? wamejazana waganda kibao vijijini, sio ndizi tu wananunua hadi mashina ya mgomba [emoji3]
Mpaka hapo sijakubali maana sio kwa ndizi zilivyojaa huku kabda ziwe variety amvayo hawana huku au huko kijijini kwenu bei iko chini mno kuliko ya Uganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…