Biashara ya Kusafirisha NDIZI toka MBEYA

Biashara ya Kusafirisha NDIZI toka MBEYA

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Habar zenu wanajamvi.?
Nimefikiria biashara ya kusafirsha ndizi kutoka mbeya kuleta dar hivyo nilikuwa naomba ushaur toka kwa wazoefu ktk mambo yafuatayo: mkungu mmoja mbeya unauzwaje? Gharama ya kukodi gari ni sh ngap (canter)? Na vipi kuhusu uuzaji kwa hapa dar, yan kuhusu upatkanaj wa wateja au ni njia ipi itanifanya niuze kwa urahs zaid?
Shukran kwenu..
 
Tafiti kwanza uhitaji wa ndizi dar, mikoa mingapi inaleta ndizi dar, bei iliyopo sokoni kwa mkungu ni sh ngapi, ww utakuja na ngapi kuteka soko. Mi napita tu, kwa ushauri zaidi wasubirie wadau wao wana majibu zaidi ya haya
 
mkuu hii post mbona ipo mara 2...anyway idea yako ni nzuri,ngoja tusubiri watu wenye uzoefu watupe somo.
 
>mkungu mmoja mbeya unauzwaje? Gharama ya kukodi gari ni sh ngap (canter)? Na vipi kuhusu uuzaji kwa hapa dar, yan kuhusu upatkanaj wa wateja au ni njia ipi itanifanya niuze kwa urahs zaid?
..

swali la nyongeza!canter inaweza kubeba mikungu mingapi,najua zinatofautiana uwezo ktk Tan!ila anayejua tunaomba atufafanulie!
 
Kabla hujajaza mikungu kwenye fuso hakikisha unajua at least nusu yake ina wateja...usije shangaa zinaivia kwenye gari
 
Back
Top Bottom