Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi anatakiwa amsafirishe mwenye nyama.Nyama iliyochinjwa hairuhusiwi kuvuka mkoa
Logic nini ya hili zuio la kutoruhusu nyama iliyochinjwa isivuke mkoa? Vipi hata ku export ni marufuku vilevile?Asante mkuu umeeleweka
Nimeshawahi safirisha na hakuna shida yoyote zingatia uhifadhi bora, iwe refregated.Nyama iliyochinjwa hairuhusiwi kuvuka mkoa.
Braza, vipi kuhusu usafirishaji wa nguruwe wazima kwaajili ya kuwauza umeshawahi kufanya? Soko lipoje na harakati za hiyo biashara ikoje kiujumla?Nimeshawahi safirisha na hakuna shida yoyote zingatia uhifadhi bora, iwe refregated.
Pastory,Braza, vipi kuhusu usafirishaji wa nguruwe wazima kwaajili ya kuwauza umeshawahi kufanya? Soko lipoje na harakati za hiyo biashara ikoje kiujumla?
Braza, kwani mnanunua nguruwe kuanzia wangapi nyinyiPastory,
Kwani bei ya nguruwe Morogoro ni kiasi gani? Maana tukijua bei tunaweza kukusaidia kwa sisi kuja kununua hukohuko ili kukuondolea adha ya usafiri.
Hawa jamaa wanaotuuzia nyama Dar wanasema Inatoka Kongwa,huwa wanachinjia hukohuko Kongwa au wanatupiga tu fix kuwa Inatoka Kongwa Kumbe wameitoa Vingunguti?Nyama iliyochinjwa hairuhusiwi kuvuka mkoa.
Hawa jamaa wanaotuuzia nyama Dar wanasema Inatoka Kongwa,huwa wanachinjia hukohuko Kongwa au wanatupiga tu fix kuwa Inatoka Kongwa Kumbe wameitoa Vingunguti?
Machinjio ni wapi mkuuSafirisha wazima mkuu,peleka moja kwa moja machinjioni,jamaa wananunua hata uwe na lori mbili
Uku kwetu yapo ndio machinjio makubwa!! Tabata kinyereziMachinjio ni wapi mkuu
Kilo Moja 8000 Hadi elfu Tisa nyama ya jumlaPastory,
Kwani bei ya nguruwe Morogoro ni kiasi gani? Maana tukijua bei tunaweza kukusaidia kwa sisi kuja kununua hukohuko ili kukuondolea adha ya usafiri.