Biashara ya kusaga na kukoboa nafaka

Date palm

New Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
1
Reaction score
0
1. Ndugu zangu naomba kufafanuliwa mchanganuo wa gharama za kununua mashine ya kusaga unga wa mahindi na machine ya kukoboa na Ni ,a,bo gani ya msingi ya kuzingatia katika ununuzi wa mashine hizo?

2. Ni faida gani ya chini unayoweza tengeneza kwa mwezi na faida ya juu kabisa kwa mwezi kutokana na utofauti wa mwezi na mwezi? Kwa maeneo ya mkoani nje ya Dar es Salaam.
 
Tumejadili sana humu ndani,tafuta humu kuna taarifa za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…