Biashara ya kuuza ardhi

Joined
Jan 22, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Wadau, Nilikuwa na mtaji mdogo nikanunua kiwanja kimoja nikakipiga fance ya wavu baada ya miezi 6 nkakiuza bei mara tatu ya niliyonunulia. Nikanunua viwili nikavipiga fance nishauza kimoja na kingine nahisi soon nitakiuza kwa faida nzuri ukizingatia bei ninayonunulia. Nafanya biashara very local je nikitaka kuifanya biashara hii iwe advance kama real estate business nizingatie yapi mana naona kama inaleta manufaa kwangu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
from my view you are already in real estate business, labda tu baadae utanogewa utakuwa unajenga nyumba ndio uuze,,,a small house for a start..good thinking
 
Endelea na direction hiyo hiyo mdogo mdogo hadi utafika. Baadae nunua ardhi kubwa kama shamba unapima viwanja mwenyewe na kuuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…