Biashara ya Kuuza Maziwa D'salaam!

The Giant

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
504
Reaction score
96
Nina mpango wa kusupply maziwa fresh toka kibaha kuja maeneo hapa dar. Ni watu gani ni wa kuwaona wataonunua kwa bei nzuri. Coz, ntakuwa nikinunua kwa 1200/- kwa lita, nina kuna uwezo wa kupata lita kuanzia 60 hadi 100 kwa siku. Na ushauri zaidi pia nahitaji wadau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…