Biashara ya kuuza maziwa fresh na mgando kwa Dar es Salaam

#Nauliza jinsi ya kugandisha maziwa yawe matamu.

niliona Mzee mmoja yeye akishakamua labda amepata Lita Moja anayaweka kwenye kidumu kidogo ,
kesho yake pia akishakamua Tena anachanganya kwenye Yale maziwa ya Jana yake Ili dumu lijae la Lita 5 ndio asubiri yagande ,

baada ya siku nne au Tano anasema yapo tayari ,lakn ukiyanywa sio matamu ni kama unakunywa maji,ni mepesi sana na pia hayana ladha nzuri.
 
Asante kwa kushare mkuu nimepata mawazo vzr kabsa
 
Asante kwa mawazo
 
Naomba kufahamu, umefikia wapi adi sasa kwenye hii biashara, naomba ni changamoto zipi unakumbana nazo kupitia biashara hii alkadhalika mafanikio uliyo yapata kupitia biashara ii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…