ndeankar Member Joined Feb 8, 2016 Posts 57 Reaction score 47 Sep 21, 2016 #1 Wakuu naombeni mwenye mwongozo juu ya biashara ya zao la ndizi Kwenye masoko ya dar
Hafidhibrahim Senior Member Joined Nov 4, 2014 Posts 142 Reaction score 32 Sep 21, 2016 #2 Wanakuja tuwasubir
albert mwakalinga Senior Member Joined Aug 27, 2015 Posts 126 Reaction score 48 Sep 24, 2016 #3 Ndeankar upo wapi? 0764988935 Na Mimi nalitafuta tukiungana tutalipia kupitia wadau
Zedekiah Member Joined Jul 9, 2009 Posts 47 Reaction score 18 Sep 24, 2016 #4 albert mwakalinga said: Ndeankar upo wapi? 0764988935 Na Mimi nalitafuta tukiungana tutalipia kupitia wadau Click to expand... Ndiz nyingi mno sa hv aisee
albert mwakalinga said: Ndeankar upo wapi? 0764988935 Na Mimi nalitafuta tukiungana tutalipia kupitia wadau Click to expand... Ndiz nyingi mno sa hv aisee
Vitaimana JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 3,535 Reaction score 1,562 Sep 24, 2016 #5 Jieleze vzr ndizi gani? kutoa wapi kuuzia wapi?
ndeankar Member Joined Feb 8, 2016 Posts 57 Reaction score 47 Sep 25, 2016 Thread starter #6 Ndizi aina yeyote kutoka mosh kwenda dar naomba anaejua kiwanda myb cha unga wa ndizi au mahali wanapopokea ndiz nyingi kwa mkupuo anisaidie
Ndizi aina yeyote kutoka mosh kwenda dar naomba anaejua kiwanda myb cha unga wa ndizi au mahali wanapopokea ndiz nyingi kwa mkupuo anisaidie