Biashara ya kuuza ndizi

ndeankar

Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
57
Reaction score
47
Wakuu naombeni mwenye mwongozo juu ya biashara ya zao la ndizi Kwenye masoko ya dar
 
Jieleze vzr ndizi gani? kutoa wapi kuuzia wapi?
 
Ndizi aina yeyote kutoka mosh kwenda dar naomba anaejua kiwanda myb cha unga wa ndizi au mahali wanapopokea ndiz nyingi kwa mkupuo anisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…