HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 713
Hi members
ninampango wa kuwa dealer/agent wa sigara. Wakati naendelea na utafiti wa jinsi mchakato mzima wa uuzaji na mikakati mbalimbali ya biashara hii, naomba kama mwenye uzoefu wa hii biashara anisaidie kunipa mbinu ya kuuza mzigo fasta na kudili na wateja. Pia jinsi ya kushindana na agents wengine. Msaada plz katika ujenzi wa taifa
ninampango wa kuwa dealer/agent wa sigara. Wakati naendelea na utafiti wa jinsi mchakato mzima wa uuzaji na mikakati mbalimbali ya biashara hii, naomba kama mwenye uzoefu wa hii biashara anisaidie kunipa mbinu ya kuuza mzigo fasta na kudili na wateja. Pia jinsi ya kushindana na agents wengine. Msaada plz katika ujenzi wa taifa