Ushaui wangu mkuu, nenda kauze udom, si unajua tena watoto wa kileo. ila nenda mnaz mmoja kanunue balozima, kisha nenda pale karume kuna mafund wanamodoa, utapata nguo za mzuka, ukifika dom watandike watoto wa kalamu.
Na nunua kwenye mnada si unajua bei za mnada hazitabiriki mara elf 3000 hadi 10000 ni kutokan na ubora wa nguo. Suruali ya 3000 Unaweza Kuuza hata kwa 6000 Hadi 8000 niwewetu jinsi utavyomshawishi mteja wako.
ushaur wangu mkuu, nenda kauze udom, si unajua tena watoto wa kileo. ila nenda mnaz mmoja kanunue balozima, kisha nenda pale karume kuna mafund wanamodoa, utapata nguo za mzuka, ukifika dom watandike watoto wa kalamu.
Ndugu yangu nashukuru kesho naenda Dodoma nitafika udom nifanyie kazi wazo lako. japokuwa bado Sina mtaji wa kununua balo zima mwenyewe ila lazima nifike niangalie Biashara inaendaje.πππ