Biashara ya kuuza vitenge

miss naire

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
237
Reaction score
228
Mwenye uelewa kuhusu hii biashara naomba dondoo, mzigo unapatikana vipi, ni China au Congo? Ukihitaji kuanza mtaji unagarimu kiasi gani naomba mwenye uelewa hapa anijuze.
 
Tunachukulia Congo kwa sababu ya kodi kubwa bandarini kwetu vikitoka Uchina. Mtaji inategea wewe mwenyewe unataka uifanye biashara kwa mtindo upi, kufungua duka, kuuza online, kutembeza kwenye maofisi na madukani..
 
Nashukuru sana, na je Congo mnavyo chukulia ni hizi Wax na Java au? Maana Java nyingi au Wax nyingi zimeandikwa made in China naomba kufahamu please na bei kule inakuwaje? Swala la kuuza hakuna shida ntakuwa na frem lakini pia kuuza online nitauza.
 
Nashukuru sana, na je Congo mnavyo chukulia ni hizi wax na java au? Mana java nyingi au wax nyingi zimeandikwa made in China naomba kufaham pls na bei kule inakuwaje?? swala la kuuza hakuna shida ntakuwa na frem lakin pia kuuza online nitauza.

China ndio watengenezaji wakubwa ila kuna fake zake zinatengenezwa hapa bongo. Uganda na Congo bei yake si mbaya sana, ila ukitaka maisha yawe rahisi zaidi chukulia pale Tunduma.
 
Nipo sehemu kijiji kinaitwa Mpimbwe ni kazi imenileta huku kwa muda, nimeshangaa sana yale mavitenge na 50,000 mpaka 65,000 unatoa mapande 3 vinauzwa 35 hadi 40

Mahindi debe 6,000
Mpunga debe 7,000
 
mpimbwe ndo wapi huko?

Sumbawanga, kama unaenda Katavi unaiacha unaingia kulia pale Mbuga inapoanzia.

Wasukuma wana hela sana asee, kadeti za 25,000 wao wanauziwa 45,000 na wananunua, Tshs pia 30,000 wananunua wakati Kariakoo akwengine unapata kwa 18,000

Huku hakuna kijana/dada wa mjini aliemaliza chuo anaweza ishi,
 
Nipo sehemu kijiji kinaitwa Mpimbwe ni kazi imenileta huku kwa muda, nimeshangaa sana yale mavitenge na 50,000 mpaka 65,000 unatoa mapande 3 vinauzwa 35 hadi 40

Mahindi debe 6,000
Mpunga debe 7,000
Aisee biashara nzuri hyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…